Wakolosai 1:12-13
[12]mkimshukuru Baba, aliyewastahilisha kupokea sehemu ya urithi wa watakatifu katika nuru.
[13]Nayetuokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake;
Mungu amethibitisha pendo lake kwako kupitia Kristo Yesu yeye aliye tustahilisha hata sasa kuyatenda yote yalio mbele zetu tukiwa na tumaini jema na mafanikio.
Wewe ni wathamani.
[12]mkimshukuru Baba, aliyewastahilisha kupokea sehemu ya urithi wa watakatifu katika nuru.
[13]Nayetuokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake;
Mungu amethibitisha pendo lake kwako kupitia Kristo Yesu yeye aliye tustahilisha hata sasa kuyatenda yote yalio mbele zetu tukiwa na tumaini jema na mafanikio.
Wewe ni wathamani.
Comments
Post a Comment