2018-05-05
Habari za asubuhi Uhali gani Zaburi
128:1-2 [1]Heri kila mtu amchaye BWANA, Aendaye katika njia
yake. [2]Taabu ya mikono yako hakika utaila; Uwa heri, na kwako
kwema Jenga mahusiano yako na Baba Mungu wako umkabidhi kazi ya
mikono yako nae akuwaziae mema atatenda mapenzi yake kwako.Warumi 8:28 Nasi
twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao
katika kuwapatia mema, yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake. Shalom
2018-05-07
Habari za asubuhi. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na upendo wa Mungu Baba uwe nawe. Ninakuombea siku ya leo kwa Jina la Yesu Kristo Roho Mtakatifu aliyemsaidizi wa kweli akusaidie na kukuongoza katika yote unayoyaenda ndani ya Kristo Yesu uangaze na kufanikisha kwaajili ya sifa na utukufu wa Mungu. Amina Yohana 15:7 [7]Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa. Shalom
Habari za asubuhi. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na upendo wa Mungu Baba uwe nawe. Ninakuombea siku ya leo kwa Jina la Yesu Kristo Roho Mtakatifu aliyemsaidizi wa kweli akusaidie na kukuongoza katika yote unayoyaenda ndani ya Kristo Yesu uangaze na kufanikisha kwaajili ya sifa na utukufu wa Mungu. Amina Yohana 15:7 [7]Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa. Shalom
2018-05-08
Habari za asubuhi! Ninakukumbusha yakuwa Mungu aliyeumba ulimwengu huu ni mwingi wa neema na fadhili, anapokutizama wewe anaona sura na mfano wake, anakupenda zaidi na wala ahesabu makosa na mapungufu yako unapomwamini yeye kupitia Yesu Kristo. Waefeso 1:6 [6]Na usifiwe utukufu wa neema yake, ambayo etuneemesha katika huyo Mpendwa. Ipokee neema hii kwa imani, Mungu anakupenda na amekupa bure kabsa. Shalom.
Habari za asubuhi! Ninakukumbusha yakuwa Mungu aliyeumba ulimwengu huu ni mwingi wa neema na fadhili, anapokutizama wewe anaona sura na mfano wake, anakupenda zaidi na wala ahesabu makosa na mapungufu yako unapomwamini yeye kupitia Yesu Kristo. Waefeso 1:6 [6]Na usifiwe utukufu wa neema yake, ambayo etuneemesha katika huyo Mpendwa. Ipokee neema hii kwa imani, Mungu anakupenda na amekupa bure kabsa. Shalom.
2018-05-09
Habari za asubuhi! Uhali gani? Ni kweli na hakika hatustahili ila kwa wingi wa neema zake Mungu kupitia Yesu Kristo yeye anatuokoa na kutustahilisha. Warumi 7:24-25 [24]Ole wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti? [25]Namshukuru Mungu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu. Basi, kai hivyo, mimi mwenyewe kwa akili zangu naitumikia sheria ya Mungu, bali kwa mwili wangu sheria ya dhambi. Neema yake yatutosha. Shalom.
Habari za asubuhi! Uhali gani? Ni kweli na hakika hatustahili ila kwa wingi wa neema zake Mungu kupitia Yesu Kristo yeye anatuokoa na kutustahilisha. Warumi 7:24-25 [24]Ole wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti? [25]Namshukuru Mungu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu. Basi, kai hivyo, mimi mwenyewe kwa akili zangu naitumikia sheria ya Mungu, bali kwa mwili wangu sheria ya dhambi. Neema yake yatutosha. Shalom.
2018-05-10
Habari za asubuhi Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na Upendo wa Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu uwe pamoja nawe. Yohana 1:16-17 [16]Kwa kuwkatika utimilifu wake sisi sote tulipokea, na neema juu ya neema. [17]Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono Yesu Kristo. Endelea kuamini na kupokea neema hii ya bure katika yote yalioko mbele yako kupitia Yesu Kristo. Yeye anayekustahilisha. Shalom.
Habari za asubuhi Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na Upendo wa Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu uwe pamoja nawe. Yohana 1:16-17 [16]Kwa kuwkatika utimilifu wake sisi sote tulipokea, na neema juu ya neema. [17]Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono Yesu Kristo. Endelea kuamini na kupokea neema hii ya bure katika yote yalioko mbele yako kupitia Yesu Kristo. Yeye anayekustahilisha. Shalom.
2018-05-11
Habari za asubuhi! Tumepewa neema na kustahilishwa kupitia Yesu Kristo kwa imani tunajengwa nae na kuzaa matunda kwakua pasipo yeye sisi hatuwezi lolote. Matendo ya Mitume 20:32 [32]Basi, sasa nawaweka katika mikono ya Mungu, na kwa neno la neema yake, ambalo laweza kuwajenga na kuwapa urithi pamoja o wote waliotakaswa. Neema yake Bwana wetu Yesu na Upendo wa Mungu Baba na ushirika wa Roho Mtakatifu uwe pamoja nawe. Shalom.
Habari za asubuhi! Tumepewa neema na kustahilishwa kupitia Yesu Kristo kwa imani tunajengwa nae na kuzaa matunda kwakua pasipo yeye sisi hatuwezi lolote. Matendo ya Mitume 20:32 [32]Basi, sasa nawaweka katika mikono ya Mungu, na kwa neno la neema yake, ambalo laweza kuwajenga na kuwapa urithi pamoja o wote waliotakaswa. Neema yake Bwana wetu Yesu na Upendo wa Mungu Baba na ushirika wa Roho Mtakatifu uwe pamoja nawe. Shalom.
2018-05-12
Habari za asubuhi! Luka 6:47-48 [47]Kila mtu ajaye kwangu, na kuyasikia maneno yangu na kuyatenda, nitawaonyesha mfano wake. [48]Mfano wake ni mjengaye nyumba, na kuchimba chini sana, na kuweka msingi juu ya mwamba; na kulipokuja gharika, mto uliishukia nyumba ile kwa nguvu, usiweze kuitikisa; kwa kuwa imejengwa vizuri. Ninakuombea kwa Jina la Yesu na kwa msaada wa Roho Mtakatifu uwe imara katika Imani yako kwa Kristo Yesu aliye mwamba Shalom
Habari za asubuhi! Luka 6:47-48 [47]Kila mtu ajaye kwangu, na kuyasikia maneno yangu na kuyatenda, nitawaonyesha mfano wake. [48]Mfano wake ni mjengaye nyumba, na kuchimba chini sana, na kuweka msingi juu ya mwamba; na kulipokuja gharika, mto uliishukia nyumba ile kwa nguvu, usiweze kuitikisa; kwa kuwa imejengwa vizuri. Ninakuombea kwa Jina la Yesu na kwa msaada wa Roho Mtakatifu uwe imara katika Imani yako kwa Kristo Yesu aliye mwamba Shalom
2018-05-14
Habari za asubuhi! Neema na iwe kwako na amani itokayo kwa Mungu. 2 Wathesalonike 1:11-12 [11]Kwa hiyo twawaombea ninyi sikuzote, ili Mungu wetu awasabu kuwa mmekustahili kuitwa kwenu, akatimiza kila haja ya wema na kila kazi ya imani kwa nguvu; [12]jina la Bwana wetu Yesu litukuzwe ndani yenu, nyi ndani yake, kwa neema ya Mungu wetu na ya Bwana Yesu Kristo. Uwe na siku njema. Shalom
Habari za asubuhi! Neema na iwe kwako na amani itokayo kwa Mungu. 2 Wathesalonike 1:11-12 [11]Kwa hiyo twawaombea ninyi sikuzote, ili Mungu wetu awasabu kuwa mmekustahili kuitwa kwenu, akatimiza kila haja ya wema na kila kazi ya imani kwa nguvu; [12]jina la Bwana wetu Yesu litukuzwe ndani yenu, nyi ndani yake, kwa neema ya Mungu wetu na ya Bwana Yesu Kristo. Uwe na siku njema. Shalom
2018-05-15
Habari za asubuhi! Umeamshwaje? 2 Wathesalonike 3:3,5 [3]Lakini Bwana ni mwaminifu, atakayewafanya imara na kuwalinda na yule mwovu. [5]Bwana awoze mioyo yenu mkapate pendo la Mungu, na saburi ya Kristo. Ninakuombea kwa jina la Yesu Kristo Roho Mtakatifu akuongoze katika njia ya kweli na uzima na autunze moyo wako adui asipate nafasi, ubaki katika Kristo Yesu ukizaa matunda ya Pendo la Mungu kwako kwa wakati. Umebarikiwa. Shalom.
Habari za asubuhi! Umeamshwaje? 2 Wathesalonike 3:3,5 [3]Lakini Bwana ni mwaminifu, atakayewafanya imara na kuwalinda na yule mwovu. [5]Bwana awoze mioyo yenu mkapate pendo la Mungu, na saburi ya Kristo. Ninakuombea kwa jina la Yesu Kristo Roho Mtakatifu akuongoze katika njia ya kweli na uzima na autunze moyo wako adui asipate nafasi, ubaki katika Kristo Yesu ukizaa matunda ya Pendo la Mungu kwako kwa wakati. Umebarikiwa. Shalom.
2018-05-16
Habari za asubuhi! 2 Petro 1:17 [17]Maana alipata kwa Mungu Baba heshima na utukufu, hapo alipoletewa sauti iliyotoka katika utukufu mkuu, Huyu ni Mnangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye. Endelea kumtizamia na kumtumainia yeye ambaye Mungu amependezwa nae.. Nawe ukikaa ndani yake kwa imani na kuishika amri yake ya Upendo hakika Mungu atapendezwa nawe kwakua u ndani yake mwenyewe nae ndani yako. Siku yako imebarikiwa. Shalom.
Habari za asubuhi! 2 Petro 1:17 [17]Maana alipata kwa Mungu Baba heshima na utukufu, hapo alipoletewa sauti iliyotoka katika utukufu mkuu, Huyu ni Mnangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye. Endelea kumtizamia na kumtumainia yeye ambaye Mungu amependezwa nae.. Nawe ukikaa ndani yake kwa imani na kuishika amri yake ya Upendo hakika Mungu atapendezwa nawe kwakua u ndani yake mwenyewe nae ndani yako. Siku yako imebarikiwa. Shalom.
2018-05-17
Habari za asubuhi! Uhali gani? Neema na fadhili zake Mungu Baba ni mpya kwako kila siku. Ninakuombea usienende kwa hisia,ama kutokana na mazingira yalivyo ama kama uonavyo, Mithali 14:12 [12]Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti. Bali enenda kwa Imani nda ya Kristo Yesu. Waebrania 10:38 [38]Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani; Naye akisitasita, roho yangu haina furaha naye. Shalom
Habari za asubuhi! Uhali gani? Neema na fadhili zake Mungu Baba ni mpya kwako kila siku. Ninakuombea usienende kwa hisia,ama kutokana na mazingira yalivyo ama kama uonavyo, Mithali 14:12 [12]Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti. Bali enenda kwa Imani nda ya Kristo Yesu. Waebrania 10:38 [38]Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani; Naye akisitasita, roho yangu haina furaha naye. Shalom
2018-05-18
Habari za asubuhi! 1 Wathesalonike 5:16-18 [16]Furahini siku zote; [17]ombeni bila kukoma; [18]shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenMungu kwenu katika Kristo Yesu. Warumi 8:28 [28]Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia me, yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake. Ashukuriwe Mungu na Baba yetu anayetupenda katika kila hali na kutupatia wema wake na fadhili zake. Shalom.
Habari za asubuhi! 1 Wathesalonike 5:16-18 [16]Furahini siku zote; [17]ombeni bila kukoma; [18]shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenMungu kwenu katika Kristo Yesu. Warumi 8:28 [28]Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia me, yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake. Ashukuriwe Mungu na Baba yetu anayetupenda katika kila hali na kutupatia wema wake na fadhili zake. Shalom.
2018-05-19 06:29:03 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Wakolosai 1:10-11 [10]mwenende
kama ulivyo wajibu wenu kwa Bwana, mkimpendeza kabisa; mkizaa matunda kwa kila
kazi njema, na kuzi katika maarifa ya Mungu; [11]mkiwezeshwa kwa uwezo
wote, kwa kadiri ya nguvu ya utukufu wake, mpate kuwa na saburi ya kila namna
na uvumilivu pamojaa furaha; Nguvu na uweza wa Mungu u ndani yako,
nae Roho wa Mungu atakukamilisha. Siku yako ni
njema. Shalom
2018-05-21 10:48:18 in +255769505203 Kaka Balbina Habari ya asubuhi! 2 Timotheo 2:11,13 [11]Ni neno
la kuaminiwa. Kwa maana, Kama tukifa pamoja naye, tutaishi pamoja
naye pia; [13]Kama sisi haini, yeye hudumu wa kuaminiwa. Kwa
maana hawezi kujikana mwenyewe. Mungu wetu anadumu wa kuaminiwa ktk
hali zote na nyakati zote. Usiache kumwamini huyu Mungu mkuu hata kama Unapitia
jambo gumu kiasi gani. Mtukuze Mungu juu ya tatizo hilo. Shalom!
2018-05-22 06:52:49 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Waebrania 2:10-11 [10]Kwa kuwa
ilimpasa yeye, ambaye kwa ajili yake na kwa njia yake vitu vyote vimekuwapo,
akileta wana wengi waikilie utukufu, kumkamilisha kiongozi mkuu wa wokovu wao
kwa njia ya mateso. [11]Maana yeye atakasaye na hao wanaotakaswa wote pia
watoka kwa mmoja. a ajili hii haoni haya kuwaita ndugu
zake; Ninakukumbusha nafasi yako unapomwamini Yesu na kukaa ndani
yake kwa Imani. Wewe ni wathamani. Shalom.
2018-05-23 04:08:59 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Marko 12:30 [30]nawe mpende
Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako
zote, na kwa nguvu zakoote. 1 Yohana 4:20 [20]Mtu akisema, Nampenda
Mungu, naye anamchukia ndugu yake, ni mwongo; kwa maana asiyempenda ndugu yake
ambaye amemwona, hawezi kpenda Mungu ambaye hakumwona. Neno hili la
thibitisha upendo wetu uwe kama vile tunavyopaswa kumpenda Mungu. Unapomuona
jiran yako muone Mungu. Shalom
2018-05-24 08:13:09 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za Asubuhi! 1 Yohana 2:5-6 [5]Lakini yeye
alishikaye neno lake, katika huyo upendo wa Mungu umekamilika kweli kweli.
Katika hili twajua ya ku tumo ndani yake. [6]Yeye asemaye ya kuwa anakaa
ndani yake, imempasa kuenenda mwenyewe vile vile kama yeye
alivyoenenda. Upendo ndio unaotuweka nda yake Kristo Yesu. Yeye
alisema kaeni ndani yangu nami ndani yenu Hivyo yatupasa kuenenda katika upendo
na Utukufu wake ukaonekanike ulimwenguni. Shalom
2018-05-25 09:04:56 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Warumi 13:8-10 [8]Msiwiwe na mtu
cho chote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendaye mwenzake ameitimiza
sheria. [9]Maana kulsema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo
amri nyingine yo yote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani
yako kama nafsi yako. [10]Pendo halimfanyii jirani neno baya; basi pendo
ndilo utimilifu wa sheria. Pendo limetukamilisha. Shalo
2018-05-26 07:11:56 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuh! Yohana 3:16 [16]Kwa maana jinsi
hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu
amwaminiye asipotee, bali e na uzima wa milele. Huwezi ukampenda
Mungu na kuwachukia watu. Upendo hauna chembe ya chuki ndani yake. Ndio
maana Mungu yeye aliye Pendo anatupenda hata kumtoa mwanae wa pekee ili KILA
MTU amwaminiaye asipotee. Hivyo upendo haubagui, ni wakila
mtu. Siku yako ni njema. Shalom.
2018-05-28 06:46:44 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Ufunuo wa Yohana
21:6-7 [6]Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na
Mwisho. Mimi nitampa yeye mwenye kiu, ya emchemi ya maji ya uzima,
bure. [7]Yeye ashindaye atayarithi haya, nami nitakuwa Mungu wake, naye
atakuwa mwanangu. Ninakuachia tafakari hii siku yaeo, Roho wa Mungu
akufunulie katika neno hili ukaishi katika kweli na Uzima kwakua imekwisha
kuwa. Siku yako ni njema. Shalom.
2018-05-29 07:40:52 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Uhali gani? Warumi
5:1-2 [1]Basi tukiisha kuhesabiwa haki itokayo katika imani, na mwe na
amani kwa Mungu, kwa njia ya Bwana wetuesu Kristo, [2]ambaye kwa yeye
tumepata kwa njia ya imani kuifikia neema hii ambayo mnasimama ndani yake; na
kufurahi katika tumaini la utukufu wa Muu. Ninakuombea Roho
Mtakatifu akusimamishe imara katika imani ndani ya Yesu Kristo ambaye kwake
unahesabiwa haki. Siku yako ni njema. Shalom.
2018-05-30 07:26:08 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! 1 Timotheo 6:12,14-15 [12]Piga
vita vile vizuri vya imani; shika uzima ule wa milele ulioitiwa, ukaungama
maungamo mazuri mbele ymashahidi wengi. [14]kwamba uilinde amri hii pasipo
mawaa, pasipo lawama, hata kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu
Kristo; [15]ambako yeye kwa majirke atakudhihirisha, yeye aliyehimidiwa,
Mwenye uweza peke yake, Mfalme wa wafalme, Bwana wa mabwana; Imani
kwa Yesu yatukamilisha kwa wakati. Shalom.
2018-05-31 07:50:12 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Yeremia 20:11 [11]Lakini BWANA
yu pamoja nami, mfano wa shujaa mwenye kutisha; kwa hiyo hao wanaonionea
watajikwaa, wala hawatashda; watatahayarika sana. Kwa sababu hawakutenda kwa
akili, wataona aibu ya milele, ambayo haitasahauliwa kamwe. Bwana yu
ndani yako na yu pamoja nawe. Unaposhindwa ama kuona huwezi jua wewe ndio unatatzo
la kumuamini. Yeye anayeyaweza yote yu pamoja nawe na amekufanya shujaa kupitia
Kristo Yesu. Shalom.
2018-06-01 07:07:06 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Tito 2:11-13 [11]Maana neema ya
Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa; [12]nayo yatufundisha kukataa
ubaya na tamaa za kia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika
ulimwengu huu wa sasa; [13]tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo
ya utukufu wa Kristo su, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; Neema ya Mungu
yakutosha. Siku yako ni njema. Shalom
2018-06-02 07:54:56 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za Asubuhi! 2 Yohana 1:6 [6]Na huu ndio
upendo: tuenende kwa kuzifuata amri zake. Hii ndiyo ile amri, kama mlivyosikia
tangu mwanzo kwamba mwende katika hiyo. Ninakuombea Roho Mtakatifu
aendelee kukuongoza katika njia ya kweli na uzima ukiishi katika pendo lile
tuliloagizwa na Mungu Siku yako ni njema. Shalom.
2018-06-04 08:56:24 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Udhihirisho sehemu ya 1 Mwanzo
1:26 [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu;
wakatawale samaki wa bahari, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia,
na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. Mungu amekufanya
kwa Sura yake na mfano wake hapa duniani amejidhihirisha kwa dunia kupitia
wewe, wewe ni mungu hapa duniani... Itaendelea.. Siku njema na
tafakari njema. Shalom.
2018-06-05 07:28:31 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Udhihirisho sehemu ya 2 Mwanzo
1:28 [28]Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke,
mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na
kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi. Mungu Mfalme
aliyeviumba vitu vyote amekufanya wewe kwa ajili yake ndio maana akakufanya kwa
sura na mfano wake (uungu) ili aitiishe dunia na kuitawala kupitia
wewe. Itaendelea. Siku yako ni njema Shalom
2018-06-06 07:25:07 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Udhihirisho sehemu ya 3 Mathayo
28:18,20 [18]Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka
yote mbinguni na duniani[20]na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi;
na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa
dahari. Wafilipi 2:13 [13 maana ndiye Mungu atendaye kazi ndani
yenu, kutaka kwenu na kutenda kwenu, kwa kulitimiza kusudi lake
jema. Siku yako ni njema. Shalom.
2018-06-07 07:42:08 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Udhihirisho sehemu ya 4 2
Wakorintho 13:5 [5]Jijaribuni wenyewe kwamba mmekuwa katika imani;
jithibitisheni wenyewe. Au hamjijui nyewe, kwamba Yesu Kristo yu ndani yenu?
Isipokuwa mmekataliwa. Andiko hili linatuhoji JE TUNAJIJUA YESU YU
NDANI YETU? unapolisoma andiko chukua muda wa kulitafakari, na
kumruhusu ajidhihirishe na kuangaza katika Ulimwengu huu kwakua uweza na
mamlaka ni yake. Siku njema na tafakari njema. Shalom
2018-06-08 07:20:33 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Udhihirisho sehemu ya 5 2
Wakorintho 4:6-7 [6]Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itangaa toka gizani,
ndiye aliyengaa mioyoni mwetu,tupe nuru ya elimu ya utukufu wa Mungu katika uso
wa Yesu Kristo. [7]Lakini tuna hazina hii katika vyombo vya udongo, ili
adhama kuu ya uwezo iwe ya ngu, wala si kutoka kwetu. Yesu Kristo
anayeishi ndani yetu anatudhihirishia utukufu wa Mungu kwa maisha yetu hapa
duniani. Siku yako ni njema Shalom
2018-06-09 10:57:33 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Uthihirisho sehemu ya 6 Wagalatia
2:20 [20]Nimesulibiwa pamoja na Kristo; lakini ni hai; wala si mimi tena,
bali Kristo yu hai nda yangu; na uhai nilio nao sasa katika mwili, ninao katika
imani ya Mwana wa Mungu, ambaye alinipenda, akajitoa nafsi yake kwa ajili
yangu. Ni kwakupitia Kristo Yesu pekee ndipo tunapoona thaman ya
maisha yetu na yakuwa yeye ndie pekee awezaye kutenda yote hapa duniani kupitia
sisi Siku njema. Shalom.
2018-06-11 07:24:17 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Waebrania 10:38 [38]Lakini
mwenye haki wangu ataishi kwa imani; Naye akisita-sita, roho yangu haina
furaha naye. Mwenye haki nnani? 2 Wakorintho
5:21 [21]Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili
sisi tupate kuwa haki ya Mungu katika Yeye. Ni yule aliywani Yesu na
kazi aliyoimaliza juu msalaban. Ni yule aliyeweka tumaini lake ndani ya
Yesu akiamini yote yawezekana Itaendelea.. Siku njema
kwako Shalom
2018-06-12 06:29:07 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Waebrania 10:39 [39]Lakini sisi
hatumo miongoni mwao wasitao na kupotea, bali tumo miongoni mwa hao walio na
imani ya kutuokoa ro zetu. Yohana 17:15-17 [15]Mimi siombi
kwamba uwatoe katika ulimwengu; bali uwalinde na yule mwovu. [16]Wao si wa
ulimwengu, kama mimi nisivyo limwengu. [17]Uwatakase kwa ile kweli; neno
lako ndiyo kweli. Umetakaswa na kweli ya neno, huna haja ya kusita wewe AMINI.
Siku njema. Shalom
2018-06-13 07:21:37 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Mathayo 28:18 [18]Yesu akaja
kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na
duniani. Yesu pekee ndie aliye naamlaka ya hapa duniani na juu
mbinguni. Yeye ndie neno la kweli na uzima kwa yeyote anayemuamini na
kumtumaini katika yote. Pasipo yeye hakuna awezaye neno.
Ninakuombea Roho Mtakatifu akufunulie kweli hii uendelee kumtumaini
na kumuamini Yesu katika yote. Amina. Siku yako ni njema.
Shalom.
2018-06-14 07:15:54 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Zaburi 143:8 [8]Unifanye
kusikia fadhili zako asubuhi, Kwa maana nimekutumaini Wewe.
Unijulishe njia nitakayoiendea, Kwa maannakuinulia nafsi
yangu. Roho Mtakatifu akuongoze katika njia ya kweli na Uzima Uishi
na kuenenda sawa na mawazo aliyokuwazia Baba Mungu wako, uwangaze nuru yake
ulimwenguni na kwa wingi wa fadhili zake uendelee kumtumaini katika kila hali.
Amina. Siku njema kwako Shalom.
2018-06-15 07:32:11 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuh! Mwamini Yesu, kaa ndani yake na enenda katika pendo. Ukumbuke ya kuwa ndani ya Kristo Yesu pekee
umefanyika mwana wa Mungu. "Huyu ni
mwanangu, mpendwa wangu, niliyependezwa naye. " Mathayo17:5 Mungu
anapendezwa nawe ndani ya Kristo Yesu. Haijalishi unapitia jambo gani ama upo
katika hali gani. Uhusiano wa Baba na mwana hauondolewi. Wewe ni
wathamani. Siku yako ni njema. Shalom.
2018-06-16 10:20:22 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! 1 Timotheo 1:5 [5]Walakini
mwisho wa agizo hilo ni upendo utokao katika moyo safi na dhamiri njema, na
imani isiyo na unafiki. Ro wa Mungu akuongoze kuenenda katika Upendo
siku zote kama Kristo Yesu aishivyo ndani yako kwa ajili ya sifa na Utukufu wa
Mungu. Siku njema kwako. Shalom
2018-06-18 07:18:59 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za Asubuhi! 1 Petro 1:6-7 [6]Mnafurahi sana
wakati huo, ijapokuwa sasa kwa kitambo kidogo, ikiwa ni lazima, mmehuzunishwa
kwa majaribu ya naa mbalimbali; [7]ili kwamba kujaribiwa kwa imani yenu,
ambayo ina thamani kuu kuliko dhahabu ipoteayo, ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa
moto, kuonekane wa kwenye sifa na utukufu na heshima, katika kufunuliwa kwake
Yesu Kristo. Endelea kumuamini Kristo Yesu katika yote unayopitia yu
pamoja nawe. Shalom
2018-06-19 08:27:21 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Ayubu 32:7-8 [7]Nilisema, Yafaa
siku ziseme, Na wingi wa miaka ufundishe hekima. [8]Lakini imo roho
ndani ya mwanadamu, Na p za Mwenyezi huwapa akili. Roho wa
Mungu aliyeumba vitu vyote na mwanzilishi wa hekima na maarifa yote anaishi
ndani yako. Ninakuombea ukawe mwepesi
kupitia Kristo Yesu na Roho wake akuongoze katika maarifa na hekima yote
unayohitaji kwa ajili ya Utukufu wa Mungu hapa dunia leo Kwa jina la
Yesu Shalom
2018-06-20 07:35:11 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! 1 Wakorintho 2:14-15 [14]Basi
mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo
ni upuzi, wala hawe kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya
rohoni. [15]Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na
mtu. Roho wa Mungu aendee kukuongoza katika yote unayoyaendea leo.
Akufunulie na kuyaona kama Mungu aonavyo. Siku yako ni njema.
Shalom.
2018-06-21 10:52:42 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Isaya 40:28-29 [28]Je! Wewe
hukujua? Hukusikia? Yeye Mungu wa milele, BWANA, Muumba miisho ya dunia,
hazimii, wala hachoki; akilzake hazichunguziki. [29]Huwapa nguvu wazimiao,
humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo. Nakutakia tafakari njema
siku ya leo Juu ya uweza wa Mun kwako na kusudi la maisha yako.
Siku njema kwako Shalom
2018-06-22 07:28:19 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Mithali 3:13-17 [13]Heri mtu
yule aonaye hekima, Na mtu yule apataye ufahamu. [14]Maana biashara
yake ni bora kuliko biashaa fedha, Na faida yake ni nyingi kuliko dhahabu
safi. [15]Yeye ana thamani kuliko marijani, Wala vyote uvitamanivyo
havilingani naye. [16]Ana w wa siku katika mkono wake wa kuume,
Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto. Bwana Mungu
akupe hekima siku ya leo Siku yako ni njema Shalom.
2018-06-23 07:22:53 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Waefeso 5:15-17 [15]Basi
angalieni sana jinsi mnavyoenenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu
wenye hekima; [16]mkiboa wakati kwa maana zamani hizi ni za
uovu. [17]Kwa sababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamu ni nini yaliyo
mapenzi ya Bwana. Roho wa Mungu aendeleeukufunulia na kukuongoza
katika njia ya kweli na uzima kwa sifa na Utukufu wa Mungu. Siku
yako ni njema. Shalom.
2018-06-25 07:31:41 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Luka 2:52 [52]Naye Yesu akazidi
kuendelea katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na
wanadamu. Katika mema yote tulioyayasoma kusikia juu ya Yesu mwana wa Mungu alivyokuwa
na kutembea juu ya inchi, ni namna ya Mungu kutueleza nasi tunaweza kugeuzwa na
ile kweli yake na kutembea kama Kristo Yesu kwakuwa tu wana wake naye Yesu
aliyeushinda ulimwengu anaishi ndani yetu. Wewe nawe ni mshindi. Siku
yako ni njema. Shalom
2018-06-26 07:51:46 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! 2 Wakorintho 12:9 [9]Naye
akaniambia, Neema yangu yakutosha; maana uweza wangu hutimilika katika udhaifu.
Basi nitajisifia udhai wangu kwa furaha nyingi, ili uweza wa Kristo ukae juu
yangu. Ni katika madhaifu ndipo tunapojitambua na kukuwa kutoka
hatua moja kwenda nyingine. Ndipo tunapotambua nguvu na uweza uliopo
ndani yetu. Ndio, uweza upo ndani yako, Roho wa Mungu aliyeumba ulimwengu yu
ndani yako. Siku njema kwako. Shalom
2018-06-27 14:20:27 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Mhubiri 12:13 [13]Hii ndiyo jumla
ya maneno; yote yamekwisha sikiwa; Mche Mungu, nawe uzishike amri zake,
Maana kwa jumla ndiyo pasayo mtu. Amri zote za Mungu
zimejumlishwa na kufanywa moja nayo ni Upendo. Mpende Bwana Mungu wako na
umpende jirani yako kama nafsi yako. Tumeumbwa na Pendo, Kwa Pendo ili
tupende kama Yeye anavyotupenda kwakuwa yeye ndiye Pendo. Siku yako
ni njema Shalom.
2018-06-28 06:10:29 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! 1 Wathesalonike
5:16-18 [16]Furahini siku zote; [17]ombeni bila
kukoma; [18]shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mape Mungu kwenu
katika Kristo Yesu. Furaha ni hali ya mtu wa ndani kuwa na uzima na
uhakika yakua maisha yako yanathamani. Bila furaha huwezi
kushukuru. Jiachia na iruhusu furaha itiririke ndani yako katika kila hali
ukishukuru kwakua yote yanapita. Siku yako ni njema. Shalom.
2018-06-29 06:42:25 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Mithali 4:18 [18]Bali njia ya
wenye haki ni kama nuru ingaayo, Ikizidi kungaa hata mchana
mkamilifu. Ninakuombea Roho wa Mungukuangazie na akufunulie mapenzi
ya Mungu kwako wewe uliyeweka tumaini lako kwa Mungu na kumuamini Yesu Kristo
ambaye kwakupitia yeye unahesabiwa haki. Amani, furaha na Upendo vikutawale leo
kwa jina la Yesu. Umebarikiwa na siku yako ni
njema. Shalom.
2018-06-30 07:27:02 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Yohana 14:26-27 [26]Lakini huyo
Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu,
atawafundisha yote, na kuwumbusha yote niliyowaambia. [27]Amani
nawaachieni; amani yangu nawapa; niwapavyo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo.
Msifadhaike mioyoni mwenu, wala mwe na woga. Usisahau unaye msaidizi
wa kweli Roho wa Mungu, itunze amani ya Kristo ndani yako wala usifadhaishwe na
changamoto. Shalom.
2018-07-02 07:32:55 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi. Warumi 5:19 [19]Kwa sababu kama
kwa kuasi kwake mtu mmoja watu wengi waliingizwa katika hali ya wenye dhambi,
kadhalika kwa kutiiwake mmoja watu wengi wameingizwa katika hali ya wenye
haki. 1 Petro 1:23 [23]Kwa kuwa mmezaliwa mara ya pili; si kwa mbegu
iharibikayo, bali kwa ilesiyoharibika; kwa neno la Mungu lenye uzima, lidumulo
hata milele. Nakutakia siku njema na tafakari njema.
Shalom.
2018-07-03 09:35:13 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Mithali 3:5-7 [5]Mtumaini BWANA
kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe; [6]Katika
njia zako zote mkiri y Naye atayanyosha mapito yako. [7]Usiwe mwenye
hekima machoni pako; Mche BWANA, ukajiepushe na uovu. Mungu
ananena nawe kwa sauti ndogo kwakuwa yu karibu sana nawe unahitaji moyo na
sikio lenye kuisikia sauti yake. Ufundishe moyo wako kusikia na utaweza kuenenda
katika njia yake ya uzima. Shalom.
2018-07-03 09:44:59 out +255769505203 Kaka Balbina Asante sana
2018-07-03 09:46:01 in +255769505203 Kaka Balbina Pamoja kaka Loan
2018-07-04 08:03:25 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Yohana 17:3 [3]Na uzima wa
milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo
uliyemtuma. Kusudio la Mungu
wewe umjue kupitia ile kweli ya neno lake kwa msaada wa Roho
Mtakatifu. Unaweza kumjua kwakua yupo karibu sana na wewe na anaongea.
Pata muda wakumjua na kumsikiliza.
Kwakua uzima upo katika kumjua yeye na kumuishi.
Shalom
2018-07-05 08:02:30 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi 2 Petro 1:2-3 [2]Neema na iwe
kwenu na amani iongezwe katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu [3]Kwa kuwa
uweza wake wa Uungu ukirimia vitu vyote vipasavyo uzima na utauwa, kwa kumjua
yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe. Nikutakie
tafakari njema ya kutenga muda binafsi wa kumjua Mungu wa kweli anayeishi ndani
yako na kujifunua kwako kwa Roho wake Mtakatifu Ufahamu na kupokea vitu
vyote alivyokukirimia Shalom
2018-07-06 09:01:01 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Luka 12:15 [15]Akawaambia,
Angalieni, jilindeni na choyo, maana uzima wa mtu haumo katika wingi wa vitu
vyake alivyo navyo. Nitakie tafakari njema juu ya maisha
unayoishi na vile vyote unavyovisumbukia na kuviangaikia. Roho wa
Mungu akufunulie kweli yake katika neno hili utambue thamani ya maisha yako na
kusudi uliloitiwa hapa duniani. Siku yako ni njema. Shalom.
2018-07-07 07:38:48 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! 1 Wakorintho 15:10 [10]Lakini
kwa neema ya Mungu nimekuwa hivi nilivyo; na neema yake iliyo kwangu ilikuwa si
bure, bali nalizidsana kufanya kazi kupita wao wote; wala si mimi, bali ni
neema ya Mungu pamoja nami. Neema iliyowekwa kwako inazaa matokeo
bora pale unapoifanyia kazi na kuiishi. Maisha yako ni ya thamani kwakua
ndani yako kuna nguvu na uweza wa Mungu wa kutenda na kubadilisha na ukaishi
maisha ya Yesu Kristo. Shalom
2018-07-09 07:31:20 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Mathayo 6:33 [33]Bali utafuteni
kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa. Kuna
jambo moja kuu ambalo hilo hungua milango na njia nyingine za mafanikio. Ni
kujichosha na kupoteza maisha pale unapokimbizana na yale yaliyopaswa kuwa
nyongeza kwako. Pangilia muda wako katika mtiririko wa vipaumbele ukianza
na lile la msingi zaidi na mengine yataongezwa kwako. Tafakari
njema na siku njema kwako. Shalom.
2018-07-10 08:02:51 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Yohana 6:63 [63]Roho ndiyo
itiayo uzima, mwili haufai kitu; maneno hayo niliyowaambia ni roho, tena ni
uzima. Ninakuombea Roho Mungu
akufunulie neno hili na akupe uzima huu wa Kristo Yesu uangaze katika yote
unayoyaendea leo kwa sifa na Utukufu wa Mungu Baba. Umebarikiwa na
siku yako ni njema. Shalom.
2018-07-11 09:43:27 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Warumi 12:18 [18]Kama yamkini,
kwa upande wenu, mkae katika amani na watu wote. Bila Amani huwezi
kupata maendeleo na mafanikio kika mambo unayoyaendea. Anza kwa kuwa na
amani yako ya ndani itokanayo na Kristo Yesu ili uweze kuangaza katika yote
unayoyaendea leo. Siku yako
ni njema na Amani ya Kristo itawale. Shalom.
2018-07-12 08:46:09 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Maombolezo 3:22-23 [22]Ni huruma
za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. [23]Ni
mpya kila siku asubuhi; nifu wako ni mkuu. Rehema na neema za
Mungu ni mpya kwako kila siku asubuhi. Kila siku ni mpya na yenye baraka
tele. Umebarikiwa ukaangaze na kuitawala dunia. Siku yako ni
njema. Shalom.
2018-07-13 09:49:08 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Warumi 3:21-22 [21]Lakini sasa,
haki ya Mungu imedhihirika pasipo sheria; inashuhudiwa na torati na
manabii; [22]ni haki ya u iliyo kwa njia ya imani katika Yesu Kristo kwa
wote waaminio. Maana hakuna tofauti; Na huu ndio ushindi katika
maisha ya hapa duniani. Imani katika Yesu Kristo. Yeye aliyeushinda ulimwengu
na kwakupitia yeye kila kitu kimewekwa chini yake nasi tumeinuliwa na
kuketishwa pamoja nae kwa Imani. Shalom.
2018-07-14 09:28:08 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi 1 Petro 2:9 [9]Bali ninyi ni mzao
mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate
kuzitangaza fadhili za yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake
ya ajabu; Simama na uenende katika nafasi yako ya kuitawala dunia
ulioitiwa na Mungu hapa duniani kwa ajili ya sifa na utukufu wake, kwakua
umefanyika wathamani kwa hiyo imani yako kwa Yesu Kristo. Siku yako ni
njema Shalom.
2018-07-16 08:08:36 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Zaburi 19:8 [8]Maagizo ya BWANA
ni ya adili, Huufurahisha moyo. Amri ya BWANA ni safi, Huyatia
macho nuru. Roho wa Mungu anakugoza na kukuwezesha kufurahia
kuitawala dunia sawa na mapenzi ya Mungu, huku ukiishika amri yake ya upendo
kwa watu wote nawe uione nuru yaan Yesu Kristo anavyoangaza kupitia wewe
ulimwenguni kwa Imani. Haijalishi uko katika hali gani, Wewe ni
wathamani. Siku yako ni njema. Shalom
2018-07-17 08:30:51 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi ! 1 Yohana 4:15-16 [15]Kila
akiriye ya kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu, Mungu hukaa ndani yake, naye ndani ya
Mungu. [16]Nasi tumahamu pendo alilo nalo Mungu kwetu sisi, na kuliamini.
Mungu ni upendo, naye akaaye katika pendo, hukaa ndani ya Mungu, na Mungu hukaa
ndani yake. kanuni ya kukaa ndani ya Mungu ni kumkiri Yesu kuwa ni
mwana na Mungu na kukaa katika pendo. Roho wa Mungu akufunulie
unapotafakari neno hili. Shalom.
2018-07-18 08:27:00 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Matendo ya Mitume 17:28 [28]Kwa
maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda, na kuwa na uhai wetu. Kama vile
mmoja wenu, mtunga masiri alivyosema, Maana sisi sote tu wazao
wake. Huna haja ya kumtafuta nnje kwakua yu ndani yako, na kanuni ni
ile ile ya kumkiri Yesu kuwa ni mwana wa Mungu na kukaa katika pendo lake kwa
kuwapenda jirani zetu. Kwa namna hii Nuru yaan uzima wa Mungu ndani yetu inaangaza.
Tafakari njema. Shalom.
2018-07-18 08:59:38 out +255769505203 Kaka Balbina Ubarikiwe na BWANA
2018-07-18 09:11:58 in +255769505203 Kaka Balbina Amina
2018-07-19 09:31:59 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Wakolosai 2:10 [10]Na ninyi
mmetimilika katika yeye aliye kichwa cha enzi yote na
mamlaka. Ndani yake Yesu na katika pendo lakMungu sisi
tumetimilishwa na tuna uzima wa milele. Nikutakie tafakari njema na
Roho wa Mungu akufunulie kutembea na kuishi ndani yake ukiitawala dunia kwa
nguvu na uweza wake kulitimiza kusudi na mapenzi ya Mungu. Siku
njema kwako. Shalom.
2018-07-20 09:24:45 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! 1 Petro 2:9 [9]Bali ninyi ni
mzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate
kuzitangaza fadhili ke yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake
ya ajabu; Roho Mtakatifu aendelee kukufunulia nafasi yako ndani ya
Yesu Kristo, akuongoze katika kuliishi lile uliloitiwa hapa duniani kwa ajili
ya sifa na Utukufu wa Mungu. Siku yako ni njema. Shalom.
2018-07-21 07:41:31 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Yeremia 29:11 [11]Maana nayajua
mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya,
kuwapa ninyi tumai siku zenu za mwisho. Maisha yako yanathamani
kubwa ndani ya Yesu, daima usisahau aliyekuleta duniani anakuwazia mema nyakati
zote. Ni mwingi wa rehema na neema na fadhili zake ni mpya kila siku.
Ninakuombea Roho Mtakatifu aendelee kukufunulia haya katika yote
unayopitia na Amani yake itawale. Shalom
2018-07-23 08:24:53 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi. 2 Yohana 1:2-3 [2]kwa ajili ya
hiyo kweli ikaayo ndani yetu, nayo itakuwa pamoja nasi hata
milele. [3]Neema, na rehema, na a, zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Yesu
Kristo Mwana wa Baba, zitakuwa pamoja nasi katika kweli na
upendo. Nakutakia tafakari njema na siku njema. Shalom
2018-07-24 07:25:46 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Isaya 55:9 [9]Kwa maana kama
vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana
kuliko njia zenu, na mawo yangu kuliko mawazo yenu. Usiache
kumtazamia Baba Mungu wako yeye ayajuaye yote, mkabidhi yote unayoyaendea naye
atakuongoza na kukupa mpango wake juu yako na mapenz yake yatatimizwa kwako
nawe utamfurahia. Yeye ni Baba akupendaye. Siku njema kwako.
Shalom
2018-07-25 07:40:02 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Yohana 1:14 [14]Naye Neno
alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa
Mwana pekee atokaye kwa Ba; amejaa neema na kweli. Roho wa Mungu
akufunulie Utukufu huu wa mwana wa Mungu katika maisha yako ya kila siku
ukaangaze nuru ya Yesu Kristo na kuitawala nchi kama yalivyo mapenzi yake
Mungu. Neema na kweli zikufunike wakati wote kwa Jina la Yesu.
Amina Siku njema kwako. Shalom.
2018-07-26 07:36:15 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Isaya 30:15 [15]Kwa maana Bwana
MUNGU, Mtakatifu wa Israeli, asema hivi, Kwa kurudi na kustarehe mtaokolewa;
nguvu zenu zitakuwaatika kutulia na kutumaini; lakini
hamkukubali. Ni kwa kutulia na kumtumaini Bwana yeye aliyemaliza
yote msalabani na kuushinda ulimwengu ndipo tunapokuwa salama kwakua tumeupokea
wokovu kupita Yesu Kristo. Kwa yeye anayeishi ndani yetu anatupa uweza na
nguvu na mamlaka yake yote. Shalom
2018-07-27 08:50:24 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Wakolosai 2:14-15 [14]akiisha
kuifuta ile hati iliyoandikwa ya kutushitaki kwa hukumu zake, iliyokuwa na
uadui kwetu; akaiondoa isepo tena, akaigongomea msalabani; [15]akiisha
kuzivua enzi na mamlaka, na kuzifanya kuwa mkogo kwa ujasiri, akizishangilia
katika msalaba huo. Enzi
mamlaka na mashtaka yote yamefutwa..
Ukiwa ndani ya Yesu wewe na Baba ni wamoja na mnatawala pamoja nawe ni
mrithi wa utawala wake hapa duniani Shalom
2018-07-28 07:30:35 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Warumi 8:19 [19]Kwa maana
viumbe vyote pia vinatazamia kwa shauku nyingi kufunuliwa kwa wana wa
Mungu. Je umeumbwa kwa sura na ano wa Mungu!? Kama ndio basi wewe ni
mwana wa Mungu na viumbe vyote vinakungoja uanze kuishi na kufanya lile
ulilokusudiwa na Mungu kuwepo hapa duniani. Yeye aliye ndani yako ni mkuu na
muweza kuliko unavyoweza kufikiri. Roho wa Mungu akufunulie haya uishi
maisha ya Yesu. Siku njema kwako. Shalom.
2018-07-30 06:57:11 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Warumi 8:14 [14]Kwa kuwa wote
wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu. Roho wa Mungu
yeye pekee ajuaye mawazo na mingo yote mema ya Mungu juu yako hapa duniani
akuongoze na kukufunulia yale yote Baba akuwaziayo na kukuongoza kuyatimiza
mapenzi yake na aijaze furaha na amani katika moyo wako kwa jina la Yesu. Amina. Umeumbwa kwa sura na mfano
wa Mungu utawale. Wewe ni mwana wa Mfalme aliye juu. Umebarikiwa.
Shalom
2018-07-30 09:00:10 out +255769505203 Kaka Balbina Asante sana
2018-07-31 08:30:04 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi 1 Yohana 1:5 [5]Na hii ndiyo
habari tuliyoisikia kwake, na kuihubiri kwenu, ya kwamba Mungu ni nuru, wala
giza lo lote hamna ndaniake. Roho wa Mungu akuangazie kwa ile nuru
ya kweli na uzima katika maisha ya hapa duniani uweze kuangaza na kuishi katika
kusudi na kutimiza mapenzi ya Mungu. Furaha na amani zikatawale katika kila
hali kwa jina la Yesu Amina. Siku yako ni njema.
Shalom.
2018-08-01 10:11:41 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi. Waefeso 3:17-19 [17]Kristo akae
mioyoni mwenu kwa imani mkiwa na shina na msingi katika upendo; [18]ili
mpate kufahamu pamoj watakatifu wote jinsi ulivyo upana, na urefu, na kimo, na
kina; [19]na kuujua upendo wake Kristo, upitao ufahamu kwa jinsi ulivyo
mwingi, mpate kutilika kwa utimilifu wote wa Mungu. Roho wa Mungu
akufunulie kwa mwezi huu mwingine ukatembee katika njia zake na kuishi maisha
ya Yesu kristo. Shalom
2018-08-02 12:02:52 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Yohana 20:21 [21]Basi Yesu
akawaambia tena, Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami
nawapeleka ninyi. Kwamba umetwa sio swala la kujiuliza, ila kila
mwamini anapaswa kujiuliza *Ametumwa na nani? *Ametumwa
wapi? *Ametumwa kufanya nini!? *Na je ametii?? Nikutakie tafakari njema na siku
njema uishi ndoto zako na kile ulichoitiwa duniani. Shalom.
2018-08-02 12:12:33 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Yohana 20:21 [21]Basi Yesu
akawaambia tena, Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami
nawapeleka ninyi. Kwamba umetwa sio swala la kujiuliza, ila kila
mwamini anapaswa kujiuliza *Ametumwa na nani? *Ametumwa
wapi? *Ametumwa kufanya nini!? *Na je ametii?? Nikutakie tafakari njema na siku
njema uishi ndoto zako na kile ulichoitiwa duniani. Shalom.
2018-08-03 08:46:22 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Mwanzo 1:26 [26]Mungu akasema,
Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini,
na ndege wa angani,a wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa
kitambaacho juu ya nchi. Mungu alikufanya kwa sura na mfano wake ili
aweze kudhihirisha uMungu wake kwa viumbe vyote kuwa yeye ni Mungu mwenye
nguvu, mwenye utu na Mungu alioko kila mahala kupitia wewe unayeishi sasa.
Mungu yu ndani yako. Shalom.
2018-08-04 11:43:38 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi 3 Yohana 1:11 [11]Mpenzi, usiuige
ubaya, bali uige wema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu, bali yeye atendaye
mabaya hakumwona Mungu Kwakua umeumbwa kwa sura na mfano wake Mungu basi
wewe ni mwakilishi wake hapa duniani. Fanya mema mpende jirani yako na
kuitawala dunia kwa kutenda kazi ile Mungu ameiweka mikononi mwako. Mdhihirishe
kwa maisha ya Yesu unayoyaishi ili na wengine wamuone pia.
Nikutakie tafakari njema. Shalom
2018-08-04 11:43:47 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi 3 Yohana 1:11 [11]Mpenzi, usiuige
ubaya, bali uige wema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu, bali yeye atendaye
mabaya hakumwona Mungu Kwakua umeumbwa kwa sura na mfano wake Mungu basi
wewe ni mwakilishi wake hapa duniani. Fanya mema mpende jirani yako na
kuitawala dunia kwa kutenda kazi ile Mungu ameiweka mikononi mwako. Mdhihirishe
kwa maisha ya Yesu unayoyaishi ili na wengine wamuone pia.
Nikutakie tafakari njema. Shalom
2018-08-06 06:55:42 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Yohana 1:4 [4]Ndani yake ndimo
ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu. Ndani yako
umebeba nuru hii kwakua u sura na ano wa Mungu, nuru hii ilioko ndani yako ndio
iletayo mwangaza na uzima ulionao. Changamoto kubwa ilioko ni namna gani
unaunganika nayo na kuiishi katika upekee wako na utofauti kwa ajili ya utukufu
wa Mungu katika yote unayoyaendea. Ninakutakia tafakari njema juu
ya uungu ulioko ndani yako. Shalom.
2018-08-07 07:42:16 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Yeremia 9:24 [24]bali ajisifuye
na ajisifu kwa sababu hii, ya kwamba ananifahamu mimi, na kunijua, ya kuwa mimi
ni BWANA, nitende wema, na hukumu, na haki, katika nchi; maana mimi napendezwa
na mambo hayo, asema BWANA, Namna yako ya kumjua na kumfahamu Mungu
kwa asili yake na tabia zake ndicho kinachompendeza Mungu. Yesu pekee ndio njia
ya kumfahamu Mungu Baba. Je wewe wajisifu na kumpendeza Mungu katika
hili? Shalom.
2018-08-08 07:04:06 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Yohana 13:35 [35]Hivyo watu wote
watatambua ya kuwa ninyi mmekuwa wanafunzi wangu, mkiwa na upendo ninyi kwa
ninyi. Upendo ndio tioagizwa na unatufanya kuonekana wanafunzi wa
Yesu na sio sala ndefu ama kunena kwa lugha ama kukesha katika nyumba za ibada. Kuwapenda
majirani zetu ndio amri na yeyote anayeitii huyo ni mwana wa Mungu.
Nikutakie tafakari njema ya Upendo wa Mungu kwako na maisha
unayoyaishi. Siku njema kwako Shalom
2018-08-09 08:40:09 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! JE WAMJUA MUNGU SEHEMU
1. Matendo ya Mitume 17:22 [22]Paulo akasimama katikati ya
Areopago, akasema, Enyi watu wa Athene, katikmambo yote naona ya kuwa ninyi ni
watu wa kutafakari sana mambo ya dini. Ninalileta neno hili kwako upate
muda wa kutafakari na Roho wa Mungu akufunulie kweli umjue Mungu wako na mapenz
yake. Je nawe ni mtu wa kutafakari sana mambo ya dini? Dini
kwako ni nini? Dini ya Mungu ni ipi? Shalom.
2018-08-10 07:33:48 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! JE WAMJUA MUNGU SEHEMU
2 Matendo ya Mitume 17:23 [23]Kwa sababu nilipokuwa nikipita
huko na huko na kuyaona mambo ya ibada yenunaliona madhabahu iliyoandikwa
maneno haya, KWA MUNGU ASIYEJULIKANA. Basi mimi nawahubirini habari zake yeye
ambaye ninyi mnamwabudu bila kumjua. Mungu huyu unayefanya ibada na
unayemuabudu unamjua? Madhabau zilizoinuliwa ama unazozitumia je ni za
Mungu unayemjua? Tafakari
njema kwako Shalom.
2018-08-11 07:43:34 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi JE WAMJUA MUNGU SEHEMU
3 Matendo ya Mitume 17:24-25 [24]Mungu aliyeufanya ulimwengu na
vitu vyote vilivyomo, yeye, kwa kuwa ni Bwa wa mbingu na nchi, hakai katika
hekalu zilizojengwa kwa mikono; [25]wala hatumikiwi kwa mikono ya wanadamu
kana kwamba anahitaji kitu cho chote; kwmaana ndiye anayewapa wote uzima na
pumzi na vitu vyote. Mungu huyu basi ni nani? Anakaa wapi?
Anatumikiwa vipi? Tafakari njema kwako Shalom
2018-08-13 07:06:10 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! JE WAMJUA MUNGU SEHEMU
4 Matendo ya Mitume 17:26-27 [26]Naye alifanya kila taifa la wanadamu
kutoka katika mmoja, wakae juu ya u wa nchi yote, akiisha kuwawekea nyakati
alizoziamuru tangu zamani, na mipaka ya makazi yao; [27]ili wamtafute
Mungu, ingawa ni kwa kupapasa-papasa, kamwone, ijapokuwa hawi mbali na kila
mmoja wetu. Mungu aliyefanya wanadamu wakae juu ya uso wa
nchi Wala hawi mbali nao Tafakari njema Shalom.
2018-08-14 07:50:23 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Waefeso 5:18 [18]Tena msilewe kwa
mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho; Mtu anapokuwa amelewa
inasemekana yupo chini ya uawishi... Kile Mungu anachokitegemea kwetu
wakati wote ni kuwa chini ya ushawishi na muongozo wa Roho wake
Mtakatifu. Hii ndio maana ya kujazwa kwa Roho Mtakatifu. Uwe
na siku Njema iliyojawa ushawishi wa Roho Mtakatifu katika yote unayoyaendea.
Shalom.
2018-08-15 07:22:35 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Wafilipi 2:4 [4]Kila mtu
asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya
wengine. Roho wa Mungu akuwezeshe katikaendo hilo la kiMungu
ukiangaza nuru ya Mungu iliyoko ndani yako kwa wengine. Siku yako
ni njema Shalom.
2018-08-16 06:27:50 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Wagalatia 6:9 [9]Tena tusichoke
katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia
roho. Maneno yako na hata matendndio yanayoiandaa na kukupa huhakika
wa kesho yako usichoke kutenda yaliomema kwani wakati utakapofika utavuna kila
lililojema. Uwe na siku njema. Shalom
2018-08-17 07:56:40 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Warumi 12:21 [21]Usishindwe na
ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema. Ubaya unaongezeka pale mtu
mwema asipofanya kitu. Je wewe uli sura na mfano wa Mungu unafanya nini juu ya
yale mabaya yanayokuzunguka? Tafakari njema juu ya kusudi la maisha
yako. Siku njema kwako usiruhusu mabaya yakaongezeka bali simama na utende
mema. Shalom.
2018-08-18 08:27:12 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Mithali 19:2 [2]Tena si vizuri
nafsi ya mtu ikose maarifa; Naye afanyaye haraka kwa miguu hutenda
dhambi. Nikutakie tafakari nje katika neno hili. Upate maarifa juu
ya yale unayoyaendea na wala usifanyie haraka na kukosea.
Siku yako ni njema. Shalom.
2018-08-20 06:56:17 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Zaburi 143:10 [10]Unifundishe
kuyatenda mapenzi yako, Kwa maana ndiwe Mungu wangu; Roho yako
mwema aniongoze kwenye nchi sawa, e na siku njema Shalom
2018-08-21 08:49:50 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Wakolosai 1:21-22 [21]Na ninyi,
mliokuwa hapo kwanza mmefarikishwa, tena adui katika nia zenu, kwa matendo yenu
mabaya, amewapatisha sasa; [22]katika mwili wa nyama yake, kwa kufa kwake,
ili awalete ninyi mbele zake, watakatifu, wasio na mawaa wala
lawama; Tafakari njema na Ro wa Mungu akufunulie utambulisho wako ndani ya Yesu.
Siku njema. Shalom
2018-08-22 09:00:38 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Matendo ya Mitume
20:24 [24]Lakini siyahesabu maisha yangu kuwa kitu cha thamani kwangu kama
kuumaliza mwendo wangu na huduma ilniliyopokea kwa Bwana Yesu, kuishuhudia
Habari Njema ya neema ya Mungu. Waijua kazi/huduma ile uliyoitiwa
hapa duniani? Haijalishi umefanikiwa kiasi gani katika mambo mengine kama
hujafanya kile ulichoitiwa maisha yako umeyaishi bila ya thamani. Tafakari
njema na siku njema kwako. Shalom
2018-08-22 09:12:29 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi! Matendo ya Mitume
20:24 [24]Lakini siyahesabu maisha yangu kuwa kitu cha thamani kwangu kama
kuumaliza mwendo wangu na huduma ilniliyopokea kwa Bwana Yesu, kuishuhudia
Habari Njema ya neema ya Mungu. Waijua kazi/huduma ile uliyoitiwa
hapa duniani? Haijalishi umefanikiwa kiasi gani katika mambo mengine kama
hujafanya kile ulichoitiwa maisha yako umeyaishi bila ya thamani. Tafakari
njema na siku njema kwako. Shalom
2018-08-23 06:55:55 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi!! Yohana 6:63 [63]Roho ndiyo
itiayo uzima, mwili haufai kitu; maneno hayo niliyowaambia ni roho, tena ni
uzima. Roho wa Mungu akunulie na kukupa uzima utokao katika kila
neno la Mungu lililowekwa moyoni mwako uishi maisha yenye thamani kulitimiza
kusudi la maisha yako. Uwe na siku njema. Shalom.
2018-08-24 07:44:19 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za Asubuhi Wakolosai 3:4 [4]Kristo
atakapofunuliwa, aliye uhai wetu, ndipo na ninyi mtafunuliwa pamoja naye katika
utukufu. Nakutakia tafaka njema juu ya uhai ulio nao na Roho
Mtakatifu akufunulie kuishi maisha ya Yesu hapa duniani kwa ajili ya Utukufu wa
Mungu. Ukumbuke ya kwamba: Zaburi 82:6 [6]Mimi nimesema,
Ndinyi miungu, Na wana wa Aliye juu, nyote pia. Siku njema
kwako. Shalom
2018-08-24 07:48:48 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za Asubuhi Wakolosai 3:4 [4]Kristo
atakapofunuliwa, aliye uhai wetu, ndipo na ninyi mtafunuliwa pamoja naye katika
utukufu. Nakutakia tafaka njema juu ya uhai ulio nao na Roho
Mtakatifu akufunulie kuishi maisha ya Yesu hapa duniani kwa ajili ya Utukufu wa
Mungu. Ukumbuke ya kwamba: Zaburi 82:6 [6]Mimi nimesema,
Ndinyi miungu, Na wana wa Aliye juu, nyote pia. Siku njema
kwako. Shalom
2018-08-25 07:23:34 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Ezekieli 36:26-27 [26]Nami
nitawapa ninyi moyo mpya, nami nitatia roho mpya ndani yenu, nami nitatoa moyo
wa jiwe uliomo ndani ymwili wenu, nami nitawapa moyo wa nyama. [27]Nami
nitatia roho yangu ndani yenu, na kuwaendesha katika sheria zangu, nanyi
mtazishika hukumu zangu, nkuzitenda. Moyo mpya na Roho wake ndani
yetu, Yeye aliyekufanya kwa ajili ya sifa na utukufu wake anakuongoza na
kukuwezesha kuishi. Siku njema Shalom
2018-08-27 09:29:54 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi 2 Timotheo 1:9-10 [9]ambaye
alituokoa akatuita kwa mwito mtakatifu, si kwa kadiri ya matendo yetu sisi,
bali kwa kadiri ya makusudyake yeye na neema yake. Neema hiyo tulipewa katika
Kristo Yesu tangu milele, [10]na sasa inadhihirishwa kwa kufunuliwa kwake
Mwokozi wetu Kristo Yes aliyebatili mauti, na kuufunua uzima na kutokuharibika,
kwa ile Injili; Nakutakia tafakari njema juu ya maisha ya milele
ndan ya Yesu Shalom.
2018-08-27 20:14:05 in +255769505203 Kaka Balbina Yohana 6:38 [38]Kwa kuwa mimi sikushuka kutoka mbinguni ili
niyafanye mapenzi yangu, bali mapenzi yake aliyenipeleka.
2018-08-27 20:30:29 in +255769505203 Kaka Balbina Nikutakie tafakari njema katika neno hilo juu ya maisha
unayoyaishi, ukumbuke ulikotoka kwanini upo hapo ulipo na lengo la kuwepo hapo
na yote ulionayo ni kwa ajili ya nini. Uwe na jioni njema na usiku
mwema.
2018-08-27 21:11:07 out +255769505203 Kaka Balbina Asante sana
2018-08-28 07:50:10 in +255769505203 Kaka Balbina Habari za asubuhi Luka 17:20-21 [20]Na alipoulizwa
na Mafarisayo, Ufalme wa Mungu utakuja lini? Aliwajibu akawaambia, ufalme wa
Mungu hauji kwa kuucnguza; [21]wala hawatasema, Tazama, upo huku, au,
kule, kwa maana, tazama, ufalme wa Mungu umo ndani yenu. Nikutakie
tafakari njema ya neno hilo Yesalilolisema yakuwa Ufalme wa Mungu umo ndani
yako Na Roho Mtakatifu akufunulie haya. Siku yako ni njema
Shalom.
2018-08-29
Habari za asubuhi! Yakobo 1:5 [5]Lakini mtu wa kwenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye apewa. Kwa yale unayoyaendea siku ya leo nena na Roho wa Mungu anayeishi ndani yako akufunulie hekima ya kuyaendea na kuyakamilisha sawa na mapenzi ya Mungu kwako. Kwaku Roho pekee ndiye ajuaye yale Mungu akuwaziayo. Siku njema kwako. Shalom.
Habari za asubuhi Mathayo 6:25 [25] Kwa sababu hiyo nawaambieni, Msisumbukie maisha yenu, mle nini au mnywe nini; wala miili yenu, mvae nini. Maishae! Si zaidi ya chakula, na mwili zaidi ya mavazi? Maisha ni zaidi ya mali na vile vingi tunavyovisumbukia kila wakati. Maisha haya ni nuru ya Yesu na Utukufu wa Mungu na yanathamani kubwa mno ambayo haifananishwi na chochote. Roho wa Mungu akufunulie haya uishi katika pendo na utukufu wake. Shalom
Habari za asubuhi! Yakobo 1:5 [5]Lakini mtu wa kwenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye apewa. Kwa yale unayoyaendea siku ya leo nena na Roho wa Mungu anayeishi ndani yako akufunulie hekima ya kuyaendea na kuyakamilisha sawa na mapenzi ya Mungu kwako. Kwaku Roho pekee ndiye ajuaye yale Mungu akuwaziayo. Siku njema kwako. Shalom.
Habari za asubuhi Mathayo 6:25 [25] Kwa sababu hiyo nawaambieni, Msisumbukie maisha yenu, mle nini au mnywe nini; wala miili yenu, mvae nini. Maishae! Si zaidi ya chakula, na mwili zaidi ya mavazi? Maisha ni zaidi ya mali na vile vingi tunavyovisumbukia kila wakati. Maisha haya ni nuru ya Yesu na Utukufu wa Mungu na yanathamani kubwa mno ambayo haifananishwi na chochote. Roho wa Mungu akufunulie haya uishi katika pendo na utukufu wake. Shalom
2018-08-31
Habari za asubuhi 1 Yohana 5:20 [20]Nasi twajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele. Maisha yako yanathamani kubwa sana kwakuwa u ndani ya Yesu yeye aliye Mungu wa kweli na uzima wa milele usilinganishe maisha haya na kitu chochote kile Tafakari njema kwako. Shalom.
Habari za asubuhi 1 Yohana 5:20 [20]Nasi twajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele. Maisha yako yanathamani kubwa sana kwakuwa u ndani ya Yesu yeye aliye Mungu wa kweli na uzima wa milele usilinganishe maisha haya na kitu chochote kile Tafakari njema kwako. Shalom.
2018-09-01
Habari za asubuhi Warumi 15:13 [13]Basi Mungu wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani katika kuamini, mpate kuzidi sana kuwa na tumaini, kaka nguvu za Roho Mtakatifu. Ninaomba neno hili likafanyike hai na kuishi ndani yako kwa jina la Yesu mwezi huu ukasimamishwe imara katika yote Mungu aliyoyaweka mbele zako na ukaishi maisha yenye thamani na Utukufu wa Mungu kwa msaada wa Roho Mtakatifu. Amina Siku yako ni njema. Shalom.
Habari za asubuhi Warumi 15:13 [13]Basi Mungu wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani katika kuamini, mpate kuzidi sana kuwa na tumaini, kaka nguvu za Roho Mtakatifu. Ninaomba neno hili likafanyike hai na kuishi ndani yako kwa jina la Yesu mwezi huu ukasimamishwe imara katika yote Mungu aliyoyaweka mbele zako na ukaishi maisha yenye thamani na Utukufu wa Mungu kwa msaada wa Roho Mtakatifu. Amina Siku yako ni njema. Shalom.
Comments
Post a Comment