Skip to main content

HABARI ZA ASUBUHI:


2018-05-05  
Habari za asubuhi Uhali gani  Zaburi 128:1-2 [1]Heri kila mtu amchaye BWANA,  Aendaye katika njia yake. [2]Taabu ya mikono yako hakika utaila;  Uwa heri, na kwako kwema  Jenga mahusiano yako na Baba Mungu wako umkabidhi kazi ya mikono yako nae akuwaziae mema atatenda mapenzi yake kwako.Warumi 8:28 Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia mema, yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake.  Shalom
2018-05-07     
Habari za asubuhi. Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na upendo wa Mungu Baba uwe nawe.  Ninakuombea siku ya leo kwa Jina la Yesu Kristo Roho Mtakatifu aliyemsaidizi wa kweli akusaidie na kukuongoza katika yote unayoyaenda ndani ya Kristo Yesu uangaze na kufanikisha kwaajili ya sifa na utukufu wa Mungu. Amina Yohana 15:7 [7]Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa.  Shalom

2018-05-08    
Habari za asubuhi!  Ninakukumbusha yakuwa Mungu aliyeumba ulimwengu huu ni mwingi wa neema na fadhili, anapokutizama wewe anaona sura na mfano wake, anakupenda zaidi na wala ahesabu makosa na mapungufu yako unapomwamini yeye kupitia Yesu Kristo. Waefeso 1:6 [6]Na usifiwe utukufu wa neema yake, ambayo etuneemesha katika huyo Mpendwa.  Ipokee neema hii kwa imani, Mungu anakupenda na amekupa bure kabsa.  Shalom.

2018-05-09  
 Habari za asubuhi! Uhali gani?  Ni kweli na hakika hatustahili ila kwa wingi wa neema zake Mungu kupitia Yesu Kristo yeye anatuokoa na kutustahilisha. Warumi 7:24-25 [24]Ole wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti? [25]Namshukuru Mungu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu. Basi, kai hivyo, mimi mwenyewe kwa akili zangu naitumikia sheria ya Mungu, bali kwa mwili wangu sheria ya dhambi.  Neema yake yatutosha. Shalom. 

2018-05-10     
 Habari za asubuhi  Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na Upendo wa Mungu Baba na Ushirika wa Roho Mtakatifu uwe pamoja nawe.  Yohana 1:16-17 [16]Kwa kuwkatika utimilifu wake sisi sote tulipokea, na neema juu ya neema. [17]Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono  Yesu Kristo.  Endelea kuamini na kupokea neema hii ya bure katika yote yalioko mbele yako kupitia Yesu Kristo. Yeye anayekustahilisha.  Shalom.

2018-05-11   
Habari za asubuhi!  Tumepewa neema na kustahilishwa kupitia Yesu Kristo kwa imani tunajengwa nae na kuzaa matunda kwakua pasipo yeye sisi hatuwezi lolote. Matendo ya Mitume 20:32 [32]Basi, sasa nawaweka katika mikono ya Mungu, na kwa neno la neema yake, ambalo laweza kuwajenga na kuwapa urithi pamoja o wote waliotakaswa.  Neema yake Bwana wetu Yesu na Upendo wa Mungu Baba na ushirika wa Roho Mtakatifu uwe pamoja nawe.  Shalom.

2018-05-12
 Habari za asubuhi!  Luka 6:47-48 [47]Kila mtu ajaye kwangu, na kuyasikia maneno yangu na kuyatenda, nitawaonyesha mfano wake. [48]Mfano wake ni mjengaye nyumba, na kuchimba chini sana, na kuweka msingi juu ya mwamba; na kulipokuja gharika, mto uliishukia nyumba ile kwa nguvu, usiweze kuitikisa; kwa kuwa imejengwa vizuri.  Ninakuombea kwa Jina la Yesu na kwa msaada wa Roho Mtakatifu uwe imara katika Imani yako kwa Kristo Yesu aliye mwamba  Shalom

2018-05-14     
 Habari za asubuhi!  Neema na iwe kwako na amani itokayo kwa Mungu. 2 Wathesalonike 1:11-12 [11]Kwa hiyo twawaombea ninyi sikuzote, ili Mungu wetu awasabu kuwa mmekustahili kuitwa kwenu, akatimiza kila haja ya wema na kila kazi ya imani kwa nguvu; [12]jina la Bwana wetu Yesu litukuzwe ndani yenu, nyi ndani yake, kwa neema ya Mungu wetu na ya Bwana Yesu Kristo.  Uwe na siku njema. Shalom

2018-05-15     
Habari za asubuhi! Umeamshwaje?  2 Wathesalonike 3:3,5 [3]Lakini Bwana ni mwaminifu, atakayewafanya imara na kuwalinda na yule mwovu. [5]Bwana awoze mioyo yenu mkapate pendo la Mungu, na saburi ya Kristo.  Ninakuombea kwa jina la Yesu Kristo Roho Mtakatifu akuongoze katika njia ya kweli na uzima na autunze moyo wako adui asipate nafasi, ubaki katika Kristo Yesu ukizaa matunda ya Pendo la Mungu kwako kwa wakati. Umebarikiwa.  Shalom.

2018-05-16      
Habari za asubuhi!  2 Petro 1:17 [17]Maana alipata kwa Mungu Baba heshima na utukufu, hapo alipoletewa sauti iliyotoka katika utukufu mkuu, Huyu ni Mnangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.  Endelea kumtizamia na kumtumainia yeye ambaye Mungu amependezwa nae.. Nawe ukikaa ndani yake kwa imani na kuishika amri yake ya Upendo hakika Mungu atapendezwa nawe kwakua u ndani yake mwenyewe nae ndani yako.  Siku yako imebarikiwa.  Shalom.

2018-05-17     
 Habari za asubuhi! Uhali gani?  Neema na fadhili zake Mungu Baba ni mpya kwako kila siku. Ninakuombea usienende kwa hisia,ama kutokana na mazingira yalivyo ama kama uonavyo, Mithali 14:12 [12]Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu,  Lakini mwisho wake ni njia za mauti.  Bali enenda kwa Imani nda ya Kristo Yesu. Waebrania 10:38 [38]Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani;  Naye akisitasita, roho yangu haina furaha naye.  Shalom

2018-05-18      
Habari za asubuhi!  1 Wathesalonike 5:16-18 [16]Furahini siku zote; [17]ombeni bila kukoma; [18]shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenMungu kwenu katika Kristo Yesu. Warumi 8:28 [28]Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapatia me, yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake.  Ashukuriwe Mungu na Baba yetu anayetupenda katika kila hali na kutupatia wema wake na fadhili zake.  Shalom.
2018-05-19     06:29:03          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!  Wakolosai 1:10-11 [10]mwenende kama ulivyo wajibu wenu kwa Bwana, mkimpendeza kabisa; mkizaa matunda kwa kila kazi njema, na kuzi katika maarifa ya Mungu; [11]mkiwezeshwa kwa uwezo wote, kwa kadiri ya nguvu ya utukufu wake, mpate kuwa na saburi ya kila namna na uvumilivu pamojaa furaha;  Nguvu na uweza wa Mungu u ndani yako, nae Roho wa Mungu atakukamilisha.  Siku yako ni njema.  Shalom
2018-05-21     10:48:18          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari ya asubuhi!  2 Timotheo 2:11,13 [11]Ni neno la kuaminiwa. Kwa maana,  Kama tukifa pamoja naye,  tutaishi pamoja naye pia; [13]Kama sisi haini,  yeye hudumu wa kuaminiwa.  Kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.  Mungu wetu anadumu wa kuaminiwa ktk hali zote na nyakati zote. Usiache kumwamini huyu Mungu mkuu hata kama Unapitia jambo gumu kiasi gani. Mtukuze Mungu juu ya tatizo hilo.  Shalom!
2018-05-22     06:52:49          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!  Waebrania 2:10-11 [10]Kwa kuwa ilimpasa yeye, ambaye kwa ajili yake na kwa njia yake vitu vyote vimekuwapo, akileta wana wengi waikilie utukufu, kumkamilisha kiongozi mkuu wa wokovu wao kwa njia ya mateso. [11]Maana yeye atakasaye na hao wanaotakaswa wote pia watoka kwa mmoja. a ajili hii haoni haya kuwaita ndugu zake;  Ninakukumbusha nafasi yako unapomwamini Yesu na kukaa ndani yake kwa Imani. Wewe ni wathamani.  Shalom.
2018-05-23     04:08:59          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!  Marko 12:30 [30]nawe mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kwa nguvu zakoote. 1 Yohana 4:20 [20]Mtu akisema, Nampenda Mungu, naye anamchukia ndugu yake, ni mwongo; kwa maana asiyempenda ndugu yake ambaye amemwona, hawezi kpenda Mungu ambaye hakumwona.  Neno hili la thibitisha upendo wetu uwe kama vile tunavyopaswa kumpenda Mungu. Unapomuona jiran yako muone Mungu.  Shalom
2018-05-24     08:13:09          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za Asubuhi!  1 Yohana 2:5-6 [5]Lakini yeye alishikaye neno lake, katika huyo upendo wa Mungu umekamilika kweli kweli. Katika hili twajua ya ku tumo ndani yake. [6]Yeye asemaye ya kuwa anakaa ndani yake, imempasa kuenenda mwenyewe vile vile kama yeye alivyoenenda.  Upendo ndio unaotuweka nda yake Kristo Yesu. Yeye alisema kaeni ndani yangu nami ndani yenu Hivyo yatupasa kuenenda katika upendo na Utukufu wake ukaonekanike ulimwenguni.  Shalom
2018-05-25     09:04:56          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!  Warumi 13:8-10 [8]Msiwiwe na mtu cho chote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendaye mwenzake ameitimiza sheria. [9]Maana kulsema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yo yote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako. [10]Pendo halimfanyii jirani neno baya; basi pendo ndilo utimilifu wa sheria.  Pendo limetukamilisha.  Shalo
2018-05-26     07:11:56          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuh!  Yohana 3:16 [16]Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali e na uzima wa milele.  Huwezi ukampenda Mungu na kuwachukia watu. Upendo hauna chembe ya chuki ndani yake. Ndio maana Mungu yeye aliye Pendo anatupenda hata kumtoa mwanae wa pekee ili KILA MTU amwaminiaye asipotee. Hivyo upendo haubagui, ni wakila mtu.  Siku yako ni njema. Shalom.
2018-05-28     06:46:44          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!  Ufunuo wa Yohana 21:6-7 [6]Akaniambia, Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Mimi nitampa yeye mwenye kiu, ya emchemi ya maji ya uzima, bure. [7]Yeye ashindaye atayarithi haya, nami nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.  Ninakuachia tafakari hii siku yaeo, Roho wa Mungu akufunulie katika neno hili ukaishi katika kweli na Uzima kwakua imekwisha kuwa.  Siku yako ni njema.  Shalom.
2018-05-29     07:40:52          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi! Uhali gani?  Warumi 5:1-2 [1]Basi tukiisha kuhesabiwa haki itokayo katika imani, na mwe na amani kwa Mungu, kwa njia ya Bwana wetuesu Kristo, [2]ambaye kwa yeye tumepata kwa njia ya imani kuifikia neema hii ambayo mnasimama ndani yake; na kufurahi katika tumaini la utukufu wa Muu.  Ninakuombea Roho Mtakatifu akusimamishe imara katika imani ndani ya Yesu Kristo ambaye kwake unahesabiwa haki.  Siku yako ni njema.  Shalom.
2018-05-30     07:26:08          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!  1 Timotheo 6:12,14-15 [12]Piga vita vile vizuri vya imani; shika uzima ule wa milele ulioitiwa, ukaungama maungamo mazuri mbele ymashahidi wengi. [14]kwamba uilinde amri hii pasipo mawaa, pasipo lawama, hata kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo; [15]ambako yeye kwa majirke atakudhihirisha, yeye aliyehimidiwa, Mwenye uweza peke yake, Mfalme wa wafalme, Bwana wa mabwana;  Imani kwa Yesu yatukamilisha kwa wakati. Shalom.
2018-05-31     07:50:12          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!  Yeremia 20:11 [11]Lakini BWANA yu pamoja nami, mfano wa shujaa mwenye kutisha; kwa hiyo hao wanaonionea watajikwaa, wala hawatashda; watatahayarika sana. Kwa sababu hawakutenda kwa akili, wataona aibu ya milele, ambayo haitasahauliwa kamwe.  Bwana yu ndani yako na yu pamoja nawe. Unaposhindwa ama kuona huwezi jua wewe ndio unatatzo la kumuamini. Yeye anayeyaweza yote yu pamoja nawe na amekufanya shujaa kupitia Kristo Yesu.  Shalom.
2018-06-01     07:07:06          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!  Tito 2:11-13 [11]Maana neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa; [12]nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa; [13]tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo su, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;  Neema ya Mungu yakutosha. Siku yako ni njema. Shalom
2018-06-02     07:54:56          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za Asubuhi!  2 Yohana 1:6 [6]Na huu ndio upendo: tuenende kwa kuzifuata amri zake. Hii ndiyo ile amri, kama mlivyosikia tangu mwanzo kwamba mwende katika hiyo.  Ninakuombea Roho Mtakatifu aendelee kukuongoza katika njia ya kweli na uzima ukiishi katika pendo lile tuliloagizwa na Mungu   Siku yako ni njema. Shalom.
2018-06-04     08:56:24          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!  Udhihirisho sehemu ya 1 Mwanzo 1:26 [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa bahari, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.  Mungu amekufanya kwa Sura yake na mfano wake hapa duniani amejidhihirisha kwa dunia kupitia wewe, wewe ni mungu hapa duniani... Itaendelea..  Siku njema na tafakari njema. Shalom.
2018-06-05     07:28:31          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!  Udhihirisho sehemu ya 2 Mwanzo 1:28 [28]Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.  Mungu Mfalme aliyeviumba vitu vyote amekufanya wewe kwa ajili yake ndio maana akakufanya kwa sura na mfano wake (uungu) ili aitiishe dunia na kuitawala kupitia wewe.  Itaendelea.  Siku yako ni njema Shalom
2018-06-06     07:25:07          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!  Udhihirisho sehemu ya 3 Mathayo 28:18,20 [18]Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani[20]na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.  Wafilipi 2:13 [13 maana ndiye Mungu atendaye kazi ndani yenu, kutaka kwenu na kutenda kwenu, kwa kulitimiza kusudi lake jema.  Siku yako ni njema. Shalom.
2018-06-07     07:42:08          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!  Udhihirisho sehemu ya 4 2 Wakorintho 13:5 [5]Jijaribuni wenyewe kwamba mmekuwa katika imani; jithibitisheni wenyewe. Au hamjijui nyewe, kwamba Yesu Kristo yu ndani yenu? Isipokuwa mmekataliwa.  Andiko hili linatuhoji JE TUNAJIJUA YESU YU NDANI YETU?   unapolisoma andiko chukua muda wa kulitafakari, na kumruhusu ajidhihirishe na kuangaza katika Ulimwengu huu kwakua uweza na mamlaka ni yake.  Siku njema na tafakari njema. Shalom 
2018-06-08     07:20:33          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!  Udhihirisho sehemu ya 5 2 Wakorintho 4:6-7 [6]Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itangaa toka gizani, ndiye aliyengaa mioyoni mwetu,tupe nuru ya elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo. [7]Lakini tuna hazina hii katika vyombo vya udongo, ili adhama kuu ya uwezo iwe ya ngu, wala si kutoka kwetu.  Yesu Kristo anayeishi ndani yetu anatudhihirishia utukufu wa Mungu kwa maisha yetu hapa duniani.  Siku yako ni njema Shalom
2018-06-09     10:57:33          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Uthihirisho sehemu ya 6 Wagalatia 2:20 [20]Nimesulibiwa pamoja na Kristo; lakini ni hai; wala si mimi tena, bali Kristo yu hai nda yangu; na uhai nilio nao sasa katika mwili, ninao katika imani ya Mwana wa Mungu, ambaye alinipenda, akajitoa nafsi yake kwa ajili yangu.  Ni kwakupitia Kristo Yesu pekee ndipo tunapoona thaman ya maisha yetu na yakuwa yeye ndie pekee awezaye kutenda yote hapa duniani kupitia sisi   Siku njema.  Shalom.
2018-06-11     07:24:17          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Waebrania 10:38 [38]Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani;  Naye akisita-sita, roho yangu haina furaha naye.  Mwenye haki nnani?  2 Wakorintho 5:21 [21]Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu katika Yeye.  Ni yule aliywani Yesu na kazi aliyoimaliza juu msalaban. Ni yule aliyeweka tumaini lake ndani ya Yesu akiamini yote yawezekana  Itaendelea..  Siku njema kwako Shalom
2018-06-12     06:29:07          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Waebrania 10:39 [39]Lakini sisi hatumo miongoni mwao wasitao na kupotea, bali tumo miongoni mwa hao walio na imani ya kutuokoa ro zetu.  Yohana 17:15-17 [15]Mimi siombi kwamba uwatoe katika ulimwengu; bali uwalinde na yule mwovu. [16]Wao si wa ulimwengu, kama mimi nisivyo limwengu. [17]Uwatakase kwa ile kweli; neno lako ndiyo kweli.  Umetakaswa na kweli ya neno,  huna haja ya kusita wewe AMINI.   Siku njema.   Shalom
2018-06-13     07:21:37          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Mathayo 28:18 [18]Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.  Yesu pekee ndie aliye naamlaka ya hapa duniani na juu mbinguni. Yeye ndie neno la kweli na uzima kwa yeyote anayemuamini na kumtumaini katika yote. Pasipo yeye hakuna awezaye neno.   Ninakuombea Roho Mtakatifu akufunulie kweli hii uendelee kumtumaini na kumuamini Yesu katika yote. Amina.   Siku yako ni njema.   Shalom.
2018-06-14     07:15:54          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Zaburi 143:8 [8]Unifanye kusikia fadhili zako asubuhi,  Kwa maana nimekutumaini Wewe.  Unijulishe njia nitakayoiendea,  Kwa maannakuinulia nafsi yangu.  Roho Mtakatifu akuongoze katika njia ya kweli na Uzima Uishi na kuenenda sawa na mawazo aliyokuwazia Baba Mungu wako, uwangaze nuru yake ulimwenguni na kwa wingi wa fadhili zake uendelee kumtumaini katika kila hali.  Amina.   Siku njema kwako Shalom.
2018-06-15     07:32:11          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuh!   Mwamini Yesu,  kaa ndani yake na enenda katika pendo.  Ukumbuke ya kuwa ndani ya Kristo Yesu pekee umefanyika mwana wa Mungu.  "Huyu ni mwanangu, mpendwa wangu, niliyependezwa naye. " Mathayo17:5 Mungu anapendezwa nawe ndani ya Kristo Yesu. Haijalishi unapitia jambo gani ama upo katika hali gani. Uhusiano wa Baba na mwana hauondolewi.   Wewe ni wathamani.   Siku yako ni njema. Shalom.
2018-06-16     10:20:22          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!  1 Timotheo 1:5 [5]Walakini mwisho wa agizo hilo ni upendo utokao katika moyo safi na dhamiri njema, na imani isiyo na unafiki.  Ro wa Mungu akuongoze kuenenda katika Upendo siku zote kama Kristo Yesu aishivyo ndani yako kwa ajili ya sifa na Utukufu wa Mungu.   Siku njema kwako.   Shalom
2018-06-18     07:18:59          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za Asubuhi!   1 Petro 1:6-7 [6]Mnafurahi sana wakati huo, ijapokuwa sasa kwa kitambo kidogo, ikiwa ni lazima, mmehuzunishwa kwa majaribu ya naa mbalimbali; [7]ili kwamba kujaribiwa kwa imani yenu, ambayo ina thamani kuu kuliko dhahabu ipoteayo, ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa moto, kuonekane wa kwenye sifa na utukufu na heshima, katika kufunuliwa kwake Yesu Kristo.  Endelea kumuamini Kristo Yesu katika yote unayopitia yu pamoja nawe.   Shalom
2018-06-19     08:27:21          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Ayubu 32:7-8 [7]Nilisema, Yafaa siku ziseme,  Na wingi wa miaka ufundishe hekima. [8]Lakini imo roho ndani ya mwanadamu,  Na p za Mwenyezi huwapa akili.  Roho wa Mungu aliyeumba vitu vyote na mwanzilishi wa hekima na maarifa yote anaishi ndani yako.  Ninakuombea ukawe mwepesi kupitia Kristo Yesu na Roho wake akuongoze katika maarifa na hekima yote unayohitaji kwa ajili ya Utukufu wa Mungu hapa dunia leo Kwa jina la Yesu  Shalom
2018-06-20     07:35:11          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   1 Wakorintho 2:14-15 [14]Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawe kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni. [15]Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.  Roho wa Mungu aendee kukuongoza katika yote unayoyaendea leo. Akufunulie na kuyaona kama Mungu aonavyo.   Siku yako ni njema.  Shalom.
2018-06-21     10:52:42          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Isaya 40:28-29 [28]Je! Wewe hukujua? Hukusikia? Yeye Mungu wa milele, BWANA, Muumba miisho ya dunia, hazimii, wala hachoki; akilzake hazichunguziki. [29]Huwapa nguvu wazimiao, humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo.   Nakutakia tafakari njema siku ya leo Juu ya uweza wa Mun kwako na kusudi la maisha yako.   Siku njema kwako   Shalom
2018-06-22     07:28:19          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Mithali 3:13-17 [13]Heri mtu yule aonaye hekima,  Na mtu yule apataye ufahamu. [14]Maana biashara yake ni bora kuliko biashaa fedha,  Na faida yake ni nyingi kuliko dhahabu safi. [15]Yeye ana thamani kuliko marijani,  Wala vyote uvitamanivyo havilingani naye. [16]Ana w wa siku katika mkono wake wa kuume,  Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.  Bwana Mungu akupe hekima siku ya leo Siku yako ni njema  Shalom.
2018-06-23     07:22:53          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!  Waefeso 5:15-17 [15]Basi angalieni sana jinsi mnavyoenenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima; [16]mkiboa wakati kwa maana zamani hizi ni za uovu. [17]Kwa sababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya Bwana.  Roho wa Mungu aendeleeukufunulia na kukuongoza katika njia ya kweli na uzima kwa sifa na Utukufu wa Mungu.   Siku yako ni njema.   Shalom.
2018-06-25     07:31:41          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Luka 2:52 [52]Naye Yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.  Katika mema yote tulioyayasoma  kusikia juu ya Yesu mwana wa Mungu alivyokuwa na kutembea juu ya inchi, ni namna ya Mungu kutueleza nasi tunaweza kugeuzwa na ile kweli yake na kutembea kama Kristo Yesu kwakuwa tu wana wake naye Yesu aliyeushinda ulimwengu anaishi ndani yetu.  Wewe nawe ni mshindi.   Siku yako ni njema.  Shalom
2018-06-26     07:51:46          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   2 Wakorintho 12:9 [9]Naye akaniambia, Neema yangu yakutosha; maana uweza wangu hutimilika katika udhaifu. Basi nitajisifia udhai wangu kwa furaha nyingi, ili uweza wa Kristo ukae juu yangu.  Ni katika madhaifu ndipo tunapojitambua na kukuwa kutoka hatua moja kwenda nyingine.  Ndipo tunapotambua nguvu na uweza uliopo ndani yetu. Ndio, uweza upo ndani yako, Roho wa Mungu aliyeumba ulimwengu yu ndani yako.  Siku njema kwako.  Shalom
2018-06-27     14:20:27          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Mhubiri 12:13 [13]Hii ndiyo jumla ya maneno; yote yamekwisha sikiwa;  Mche Mungu, nawe uzishike amri zake,  Maana kwa jumla ndiyo pasayo mtu.  Amri zote za Mungu zimejumlishwa na kufanywa moja nayo ni Upendo. Mpende Bwana Mungu wako na umpende jirani yako kama nafsi yako.  Tumeumbwa na Pendo, Kwa Pendo ili tupende kama Yeye anavyotupenda kwakuwa yeye ndiye Pendo.   Siku yako ni njema   Shalom.
2018-06-28     06:10:29          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   1 Wathesalonike 5:16-18 [16]Furahini siku zote; [17]ombeni bila kukoma; [18]shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mape Mungu kwenu katika Kristo Yesu.  Furaha ni hali ya mtu wa ndani kuwa na uzima na uhakika yakua maisha yako yanathamani. Bila furaha huwezi kushukuru. Jiachia na iruhusu furaha itiririke ndani yako katika kila hali ukishukuru kwakua yote yanapita.   Siku yako ni njema.  Shalom.
2018-06-29     06:42:25          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Mithali 4:18 [18]Bali njia ya wenye haki ni kama nuru ingaayo,  Ikizidi kungaa hata mchana mkamilifu.  Ninakuombea Roho wa Mungukuangazie na akufunulie mapenzi ya Mungu kwako wewe uliyeweka tumaini lako kwa Mungu na kumuamini Yesu Kristo ambaye kwakupitia yeye unahesabiwa haki. Amani, furaha na Upendo vikutawale leo kwa jina la Yesu.   Umebarikiwa na siku yako ni njema.  Shalom.
2018-06-30     07:27:02          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Yohana 14:26-27 [26]Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote, na kuwumbusha yote niliyowaambia. [27]Amani nawaachieni; amani yangu nawapa; niwapavyo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo. Msifadhaike mioyoni mwenu, wala mwe na woga.  Usisahau unaye msaidizi wa kweli Roho wa Mungu, itunze amani ya Kristo ndani yako wala usifadhaishwe na changamoto.   Shalom.
2018-07-02     07:32:55          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi.  Warumi 5:19 [19]Kwa sababu kama kwa kuasi kwake mtu mmoja watu wengi waliingizwa katika hali ya wenye dhambi, kadhalika kwa kutiiwake mmoja watu wengi wameingizwa katika hali ya wenye haki. 1 Petro 1:23 [23]Kwa kuwa mmezaliwa mara ya pili; si kwa mbegu iharibikayo, bali kwa ilesiyoharibika; kwa neno la Mungu lenye uzima, lidumulo hata milele.  Nakutakia siku njema na tafakari njema.   Shalom.   
2018-07-03     09:35:13          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Mithali 3:5-7 [5]Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote,  Wala usizitegemee akili zako mwenyewe; [6]Katika njia zako zote mkiri y  Naye atayanyosha mapito yako. [7]Usiwe mwenye hekima machoni pako;  Mche BWANA, ukajiepushe na uovu.  Mungu ananena nawe kwa sauti ndogo kwakuwa yu karibu sana nawe unahitaji moyo na sikio lenye kuisikia sauti yake. Ufundishe moyo wako kusikia na utaweza kuenenda katika njia yake ya uzima.  Shalom.
2018-07-03     09:44:59          out       +255769505203          Kaka Balbina  Asante sana
2018-07-03     09:46:01          in         +255769505203          Kaka Balbina  Pamoja kaka Loan
2018-07-04     08:03:25          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Yohana 17:3 [3]Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.  Kusudio la Mungu  wewe umjue kupitia ile kweli ya neno lake kwa msaada wa Roho Mtakatifu. Unaweza kumjua kwakua yupo karibu sana na wewe na anaongea.  Pata muda wakumjua na kumsikiliza.   Kwakua uzima upo katika kumjua yeye na kumuishi.   Shalom
2018-07-05     08:02:30          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  2 Petro 1:2-3 [2]Neema na iwe kwenu na amani iongezwe katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu [3]Kwa kuwa uweza wake wa Uungu ukirimia vitu vyote vipasavyo uzima na utauwa, kwa kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe.  Nikutakie tafakari njema ya kutenga muda binafsi wa kumjua Mungu wa kweli anayeishi ndani yako na kujifunua kwako kwa Roho wake Mtakatifu  Ufahamu na kupokea vitu vyote alivyokukirimia  Shalom
2018-07-06     09:01:01          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Luka 12:15 [15]Akawaambia, Angalieni, jilindeni na choyo, maana uzima wa mtu haumo katika wingi wa vitu vyake alivyo navyo.   Nitakie tafakari njema juu ya maisha unayoishi na vile vyote unavyovisumbukia na kuviangaikia.   Roho wa Mungu akufunulie kweli yake katika neno hili utambue thamani ya maisha yako na kusudi uliloitiwa hapa duniani.   Siku yako ni njema.  Shalom.
2018-07-07     07:38:48          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   1 Wakorintho 15:10 [10]Lakini kwa neema ya Mungu nimekuwa hivi nilivyo; na neema yake iliyo kwangu ilikuwa si bure, bali nalizidsana kufanya kazi kupita wao wote; wala si mimi, bali ni neema ya Mungu pamoja nami.  Neema iliyowekwa kwako inazaa matokeo bora pale unapoifanyia kazi na kuiishi.  Maisha yako ni ya thamani kwakua ndani yako kuna nguvu na uweza wa Mungu wa kutenda na kubadilisha na ukaishi maisha ya Yesu Kristo.   Shalom
2018-07-09     07:31:20          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Mathayo 6:33 [33]Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.  Kuna jambo moja kuu ambalo hilo hungua milango na njia nyingine za mafanikio. Ni kujichosha na kupoteza maisha pale unapokimbizana na yale yaliyopaswa kuwa nyongeza kwako.  Pangilia muda wako katika mtiririko wa vipaumbele ukianza na lile la msingi zaidi na mengine yataongezwa kwako.   Tafakari njema na siku njema kwako.  Shalom.
2018-07-10     08:02:51          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Yohana 6:63 [63]Roho ndiyo itiayo uzima, mwili haufai kitu; maneno hayo niliyowaambia ni roho, tena ni uzima.  Ninakuombea Roho  Mungu akufunulie neno hili na akupe uzima huu wa Kristo Yesu uangaze katika yote unayoyaendea leo kwa sifa na Utukufu wa Mungu Baba.   Umebarikiwa na siku yako ni njema.   Shalom.
2018-07-11     09:43:27          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Warumi 12:18 [18]Kama yamkini, kwa upande wenu, mkae katika amani na watu wote.  Bila Amani huwezi kupata maendeleo na mafanikio kika mambo unayoyaendea.  Anza kwa kuwa na amani yako ya ndani itokanayo na Kristo Yesu ili uweze kuangaza katika yote unayoyaendea leo.    Siku yako ni njema na Amani ya Kristo itawale.   Shalom.
2018-07-12     08:46:09          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Maombolezo 3:22-23 [22]Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii,  Kwa kuwa rehema zake hazikomi. [23]Ni mpya kila siku asubuhi;  nifu wako ni mkuu.  Rehema na neema za Mungu ni mpya kwako kila siku asubuhi.  Kila siku ni mpya na yenye baraka tele.  Umebarikiwa ukaangaze na kuitawala dunia.   Siku yako ni njema.  Shalom.
2018-07-13     09:49:08          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Warumi 3:21-22 [21]Lakini sasa, haki ya Mungu imedhihirika pasipo sheria; inashuhudiwa na torati na manabii; [22]ni haki ya u iliyo kwa njia ya imani katika Yesu Kristo kwa wote waaminio. Maana hakuna tofauti;  Na huu ndio ushindi katika maisha ya hapa duniani. Imani katika Yesu Kristo.  Yeye aliyeushinda ulimwengu na kwakupitia yeye kila kitu kimewekwa chini yake nasi tumeinuliwa na kuketishwa pamoja nae kwa Imani.  Shalom.
2018-07-14     09:28:08          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  1 Petro 2:9 [9]Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili za yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu;  Simama na uenende katika nafasi yako ya kuitawala dunia ulioitiwa na Mungu hapa duniani kwa ajili ya sifa na utukufu wake, kwakua umefanyika wathamani kwa hiyo imani yako kwa Yesu Kristo.  Siku yako ni njema Shalom.
2018-07-16     08:08:36          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Zaburi 19:8 [8]Maagizo ya BWANA ni ya adili,  Huufurahisha moyo.  Amri ya BWANA ni safi,  Huyatia macho nuru.  Roho wa Mungu anakugoza na kukuwezesha kufurahia kuitawala dunia sawa na mapenzi ya Mungu, huku ukiishika amri yake ya upendo kwa watu wote nawe uione nuru yaan Yesu Kristo anavyoangaza kupitia wewe ulimwenguni kwa Imani.  Haijalishi uko katika hali gani, Wewe ni wathamani.  Siku yako ni njema.   Shalom
2018-07-17     08:30:51          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi !   1 Yohana 4:15-16 [15]Kila akiriye ya kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu, Mungu hukaa ndani yake, naye ndani ya Mungu. [16]Nasi tumahamu pendo alilo nalo Mungu kwetu sisi, na kuliamini. Mungu ni upendo, naye akaaye katika pendo, hukaa ndani ya Mungu, na Mungu hukaa ndani yake.  kanuni ya kukaa ndani ya Mungu ni kumkiri Yesu kuwa ni mwana na Mungu na kukaa katika pendo.  Roho wa Mungu akufunulie unapotafakari neno hili.   Shalom.
2018-07-18     08:27:00          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Matendo ya Mitume 17:28 [28]Kwa maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda, na kuwa na uhai wetu. Kama vile mmoja wenu, mtunga masiri alivyosema, Maana sisi sote tu wazao wake.  Huna haja ya kumtafuta nnje kwakua yu ndani yako, na kanuni ni ile ile ya kumkiri Yesu kuwa ni mwana wa Mungu na kukaa katika pendo lake kwa kuwapenda jirani zetu.  Kwa namna hii Nuru yaan uzima wa Mungu ndani yetu inaangaza.   Tafakari njema.   Shalom.
2018-07-18     08:59:38          out       +255769505203          Kaka Balbina  Ubarikiwe na BWANA
2018-07-18     09:11:58          in         +255769505203          Kaka Balbina  Amina
2018-07-19     09:31:59          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Wakolosai 2:10 [10]Na ninyi mmetimilika katika yeye aliye kichwa cha enzi yote na mamlaka.   Ndani yake Yesu na katika pendo lakMungu sisi tumetimilishwa na tuna uzima wa milele.   Nikutakie tafakari njema na Roho wa Mungu akufunulie kutembea na kuishi ndani yake ukiitawala dunia kwa nguvu na uweza wake kulitimiza kusudi na mapenzi ya Mungu.   Siku njema kwako.   Shalom.
2018-07-20     09:24:45          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   1 Petro 2:9 [9]Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili ke yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu;  Roho Mtakatifu aendelee kukufunulia nafasi yako ndani ya Yesu Kristo, akuongoze katika kuliishi lile uliloitiwa hapa duniani kwa ajili ya sifa na Utukufu wa Mungu.   Siku yako ni njema.  Shalom.
2018-07-21     07:41:31          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Yeremia 29:11 [11]Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumai siku zenu za mwisho.  Maisha yako yanathamani kubwa ndani ya Yesu, daima usisahau aliyekuleta duniani anakuwazia mema nyakati zote. Ni mwingi wa rehema na neema na fadhili zake ni mpya kila siku.  Ninakuombea Roho Mtakatifu aendelee kukufunulia haya katika yote unayopitia na Amani yake itawale.   Shalom
2018-07-23     08:24:53          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi.   2 Yohana 1:2-3 [2]kwa ajili ya hiyo kweli ikaayo ndani yetu, nayo itakuwa pamoja nasi hata milele. [3]Neema, na rehema, na a, zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo Mwana wa Baba, zitakuwa pamoja nasi katika kweli na upendo.  Nakutakia tafakari njema na siku njema.   Shalom
2018-07-24     07:25:46          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Isaya 55:9 [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawo yangu kuliko mawazo yenu.  Usiache kumtazamia Baba Mungu wako yeye ayajuaye yote, mkabidhi yote unayoyaendea naye atakuongoza na kukupa mpango wake juu yako na mapenz yake yatatimizwa kwako nawe utamfurahia.  Yeye ni Baba akupendaye.   Siku njema kwako.  Shalom
2018-07-25     07:40:02          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Yohana 1:14 [14]Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Ba; amejaa neema na kweli.  Roho wa Mungu akufunulie Utukufu huu wa mwana wa Mungu katika maisha yako ya kila siku ukaangaze nuru ya Yesu Kristo na kuitawala nchi kama yalivyo mapenzi yake Mungu.  Neema na kweli zikufunike wakati wote kwa Jina la Yesu. Amina  Siku njema kwako.  Shalom.
2018-07-26     07:36:15          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Isaya 30:15 [15]Kwa maana Bwana MUNGU, Mtakatifu wa Israeli, asema hivi, Kwa kurudi na kustarehe mtaokolewa; nguvu zenu zitakuwaatika kutulia na kutumaini; lakini hamkukubali.  Ni kwa kutulia na kumtumaini Bwana yeye aliyemaliza yote msalabani na kuushinda ulimwengu ndipo tunapokuwa salama kwakua tumeupokea wokovu kupita Yesu Kristo.  Kwa yeye anayeishi ndani yetu anatupa uweza na nguvu na mamlaka yake yote.   Shalom
2018-07-27     08:50:24          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Wakolosai 2:14-15 [14]akiisha kuifuta ile hati iliyoandikwa ya kutushitaki kwa hukumu zake, iliyokuwa na uadui kwetu; akaiondoa isepo tena, akaigongomea msalabani; [15]akiisha kuzivua enzi na mamlaka, na kuzifanya kuwa mkogo kwa ujasiri, akizishangilia katika msalaba huo.  Enzi  mamlaka na mashtaka yote yamefutwa..  Ukiwa ndani ya Yesu wewe na Baba ni wamoja na mnatawala pamoja nawe ni mrithi wa utawala wake hapa duniani  Shalom
2018-07-28     07:30:35          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Warumi 8:19 [19]Kwa maana viumbe vyote pia vinatazamia kwa shauku nyingi kufunuliwa kwa wana wa Mungu.  Je umeumbwa kwa sura na ano wa Mungu!? Kama ndio basi wewe ni mwana wa Mungu na viumbe vyote vinakungoja uanze kuishi na kufanya lile ulilokusudiwa na Mungu kuwepo hapa duniani. Yeye aliye ndani yako ni mkuu na muweza kuliko unavyoweza kufikiri.  Roho wa Mungu akufunulie haya uishi maisha ya Yesu.   Siku njema kwako.  Shalom.
2018-07-30     06:57:11          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Warumi 8:14 [14]Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu.  Roho wa Mungu yeye pekee ajuaye mawazo na mingo yote mema ya Mungu juu yako hapa duniani akuongoze na kukufunulia yale yote Baba akuwaziayo na kukuongoza kuyatimiza mapenzi yake na aijaze furaha na amani katika moyo wako kwa jina la Yesu.  Amina.   Umeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu utawale. Wewe ni mwana wa Mfalme aliye juu.  Umebarikiwa.  Shalom
2018-07-30     09:00:10          out       +255769505203          Kaka Balbina  Asante sana
2018-07-31     08:30:04          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  1 Yohana 1:5 [5]Na hii ndiyo habari tuliyoisikia kwake, na kuihubiri kwenu, ya kwamba Mungu ni nuru, wala giza lo lote hamna ndaniake.  Roho wa Mungu akuangazie kwa ile nuru ya kweli na uzima katika maisha ya hapa duniani uweze kuangaza na kuishi katika kusudi na kutimiza mapenzi ya Mungu. Furaha na amani zikatawale katika kila hali kwa jina la Yesu Amina.   Siku yako ni njema.   Shalom.
2018-08-01     10:11:41          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi.   Waefeso 3:17-19 [17]Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani mkiwa na shina na msingi katika upendo; [18]ili mpate kufahamu pamoj watakatifu wote jinsi ulivyo upana, na urefu, na kimo, na kina; [19]na kuujua upendo wake Kristo, upitao ufahamu kwa jinsi ulivyo mwingi, mpate kutilika kwa utimilifu wote wa Mungu.  Roho wa Mungu akufunulie kwa mwezi huu mwingine ukatembee katika njia zake na kuishi maisha ya Yesu kristo.   Shalom
2018-08-02     12:02:52          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Yohana 20:21 [21]Basi Yesu akawaambia tena, Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami nawapeleka ninyi.  Kwamba umetwa sio swala la kujiuliza, ila kila mwamini anapaswa kujiuliza  *Ametumwa na nani? *Ametumwa wapi? *Ametumwa kufanya nini!?  *Na je ametii??    Nikutakie tafakari njema na siku njema uishi ndoto zako na kile ulichoitiwa duniani.   Shalom.
2018-08-02     12:12:33          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Yohana 20:21 [21]Basi Yesu akawaambia tena, Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami nawapeleka ninyi.  Kwamba umetwa sio swala la kujiuliza, ila kila mwamini anapaswa kujiuliza  *Ametumwa na nani? *Ametumwa wapi? *Ametumwa kufanya nini!?  *Na je ametii??    Nikutakie tafakari njema na siku njema uishi ndoto zako na kile ulichoitiwa duniani.   Shalom.
2018-08-03     08:46:22          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Mwanzo 1:26 [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani,a wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.  Mungu alikufanya kwa sura na mfano wake ili aweze kudhihirisha uMungu wake kwa viumbe vyote kuwa yeye ni Mungu mwenye nguvu, mwenye utu na Mungu alioko kila mahala kupitia wewe unayeishi sasa.  Mungu yu ndani yako.   Shalom.
2018-08-04     11:43:38          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  3 Yohana 1:11 [11]Mpenzi, usiuige ubaya, bali uige wema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu, bali yeye atendaye mabaya hakumwona Mungu Kwakua umeumbwa kwa sura na mfano wake Mungu basi wewe ni mwakilishi wake hapa duniani. Fanya mema mpende jirani yako na kuitawala dunia kwa kutenda kazi ile Mungu ameiweka mikononi mwako. Mdhihirishe kwa maisha ya Yesu unayoyaishi ili na wengine wamuone pia.   Nikutakie tafakari njema.  Shalom
2018-08-04     11:43:47          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  3 Yohana 1:11 [11]Mpenzi, usiuige ubaya, bali uige wema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu, bali yeye atendaye mabaya hakumwona Mungu Kwakua umeumbwa kwa sura na mfano wake Mungu basi wewe ni mwakilishi wake hapa duniani. Fanya mema mpende jirani yako na kuitawala dunia kwa kutenda kazi ile Mungu ameiweka mikononi mwako. Mdhihirishe kwa maisha ya Yesu unayoyaishi ili na wengine wamuone pia.   Nikutakie tafakari njema.  Shalom
2018-08-06     06:55:42          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Yohana 1:4 [4]Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.  Ndani yako umebeba nuru hii kwakua u sura na ano wa Mungu, nuru hii ilioko ndani yako ndio iletayo mwangaza na uzima ulionao. Changamoto kubwa ilioko ni namna gani unaunganika nayo na kuiishi katika upekee wako na utofauti kwa ajili ya utukufu wa Mungu katika yote unayoyaendea.   Ninakutakia tafakari njema juu ya uungu ulioko ndani yako.   Shalom.
2018-08-07     07:42:16          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Yeremia 9:24 [24]bali ajisifuye na ajisifu kwa sababu hii, ya kwamba ananifahamu mimi, na kunijua, ya kuwa mimi ni BWANA, nitende wema, na hukumu, na haki, katika nchi; maana mimi napendezwa na mambo hayo, asema BWANA,  Namna yako ya kumjua na kumfahamu Mungu kwa asili yake na tabia zake ndicho kinachompendeza Mungu. Yesu pekee ndio njia ya kumfahamu Mungu Baba.  Je wewe wajisifu na kumpendeza Mungu katika hili?   Shalom.
2018-08-08     07:04:06          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Yohana 13:35 [35]Hivyo watu wote watatambua ya kuwa ninyi mmekuwa wanafunzi wangu, mkiwa na upendo ninyi kwa ninyi.  Upendo ndio tioagizwa na unatufanya kuonekana wanafunzi wa Yesu na sio sala ndefu ama kunena kwa lugha ama kukesha katika nyumba za ibada. Kuwapenda majirani zetu ndio amri na yeyote anayeitii huyo ni mwana wa Mungu.   Nikutakie tafakari njema ya Upendo wa Mungu kwako na maisha unayoyaishi.   Siku njema kwako  Shalom
2018-08-09     08:40:09          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   JE WAMJUA MUNGU SEHEMU 1.  Matendo ya Mitume 17:22 [22]Paulo akasimama katikati ya Areopago, akasema, Enyi watu wa Athene, katikmambo yote naona ya kuwa ninyi ni watu wa kutafakari sana mambo ya dini.  Ninalileta neno hili kwako upate muda wa kutafakari na Roho wa Mungu akufunulie kweli umjue Mungu wako na mapenz yake.   Je nawe ni mtu wa kutafakari sana mambo ya dini?  Dini kwako ni nini?  Dini ya Mungu ni ipi?   Shalom.
2018-08-10     07:33:48          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   JE WAMJUA MUNGU SEHEMU 2  Matendo ya Mitume 17:23 [23]Kwa sababu nilipokuwa nikipita huko na huko na kuyaona mambo ya ibada yenunaliona madhabahu iliyoandikwa maneno haya, KWA MUNGU ASIYEJULIKANA. Basi mimi nawahubirini habari zake yeye ambaye ninyi mnamwabudu bila kumjua.  Mungu huyu unayefanya ibada na unayemuabudu unamjua?  Madhabau zilizoinuliwa ama unazozitumia je ni za Mungu  unayemjua?   Tafakari njema kwako Shalom.
2018-08-11     07:43:34          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  JE WAMJUA MUNGU SEHEMU 3  Matendo ya Mitume 17:24-25 [24]Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, yeye, kwa kuwa ni Bwa wa mbingu na nchi, hakai katika hekalu zilizojengwa kwa mikono; [25]wala hatumikiwi kwa mikono ya wanadamu kana kwamba anahitaji kitu cho chote; kwmaana ndiye anayewapa wote uzima na pumzi na vitu vyote.  Mungu huyu basi ni nani?  Anakaa wapi?  Anatumikiwa vipi?   Tafakari njema kwako  Shalom
2018-08-13     07:06:10          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   JE WAMJUA MUNGU SEHEMU 4 Matendo ya Mitume 17:26-27 [26]Naye alifanya kila taifa la wanadamu kutoka katika mmoja, wakae juu ya u wa nchi yote, akiisha kuwawekea nyakati alizoziamuru tangu zamani, na mipaka ya makazi yao; [27]ili wamtafute Mungu, ingawa ni kwa kupapasa-papasa, kamwone, ijapokuwa hawi mbali na kila mmoja wetu.  Mungu aliyefanya wanadamu wakae juu ya uso wa nchi Wala hawi mbali nao  Tafakari njema Shalom.
2018-08-14     07:50:23          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Waefeso 5:18 [18]Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho;  Mtu anapokuwa amelewa inasemekana yupo chini ya uawishi...  Kile Mungu anachokitegemea kwetu wakati wote ni kuwa chini ya ushawishi na muongozo wa Roho wake Mtakatifu. Hii ndio maana ya kujazwa kwa Roho Mtakatifu.   Uwe na siku Njema iliyojawa ushawishi wa Roho Mtakatifu katika yote unayoyaendea.  Shalom.
2018-08-15     07:22:35          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Wafilipi 2:4 [4]Kila mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine.  Roho wa Mungu akuwezeshe katikaendo hilo la kiMungu ukiangaza nuru ya Mungu iliyoko ndani yako kwa wengine.   Siku yako ni njema Shalom.
2018-08-16     06:27:50          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Wagalatia 6:9 [9]Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho.  Maneno yako na hata matendndio yanayoiandaa na kukupa huhakika wa kesho yako usichoke kutenda yaliomema kwani wakati utakapofika utavuna kila lililojema.   Uwe na siku njema.  Shalom
2018-08-17     07:56:40          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Warumi 12:21 [21]Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.  Ubaya unaongezeka pale mtu mwema asipofanya kitu. Je wewe uli sura na mfano wa Mungu unafanya nini juu ya yale mabaya yanayokuzunguka?   Tafakari njema juu ya kusudi la maisha yako. Siku njema kwako usiruhusu mabaya yakaongezeka bali simama na utende mema.   Shalom.
2018-08-18     08:27:12          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Mithali 19:2 [2]Tena si vizuri nafsi ya mtu ikose maarifa;  Naye afanyaye haraka kwa miguu hutenda dhambi.  Nikutakie tafakari nje katika neno hili. Upate maarifa juu ya yale unayoyaendea na wala usifanyie haraka na kukosea.    Siku yako ni njema.  Shalom.
2018-08-20     06:56:17          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Zaburi 143:10 [10]Unifundishe kuyatenda mapenzi yako,  Kwa maana ndiwe Mungu wangu;  Roho yako mwema aniongoze kwenye nchi sawa,  e na siku njema Shalom
2018-08-21     08:49:50          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Wakolosai 1:21-22 [21]Na ninyi, mliokuwa hapo kwanza mmefarikishwa, tena adui katika nia zenu, kwa matendo yenu mabaya, amewapatisha sasa; [22]katika mwili wa nyama yake, kwa kufa kwake, ili awalete ninyi mbele zake, watakatifu, wasio na mawaa wala lawama;  Tafakari njema na Ro wa Mungu akufunulie  utambulisho wako ndani ya Yesu.   Siku njema.   Shalom
2018-08-22     09:00:38          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Matendo ya Mitume 20:24 [24]Lakini siyahesabu maisha yangu kuwa kitu cha thamani kwangu kama kuumaliza mwendo wangu na huduma ilniliyopokea kwa Bwana Yesu, kuishuhudia Habari Njema ya neema ya Mungu.  Waijua kazi/huduma ile uliyoitiwa hapa duniani?  Haijalishi umefanikiwa kiasi gani katika mambo mengine kama hujafanya kile ulichoitiwa maisha yako umeyaishi bila ya thamani.   Tafakari njema na siku njema kwako.  Shalom
2018-08-22     09:12:29          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!   Matendo ya Mitume 20:24 [24]Lakini siyahesabu maisha yangu kuwa kitu cha thamani kwangu kama kuumaliza mwendo wangu na huduma ilniliyopokea kwa Bwana Yesu, kuishuhudia Habari Njema ya neema ya Mungu.  Waijua kazi/huduma ile uliyoitiwa hapa duniani?  Haijalishi umefanikiwa kiasi gani katika mambo mengine kama hujafanya kile ulichoitiwa maisha yako umeyaishi bila ya thamani.   Tafakari njema na siku njema kwako.  Shalom
2018-08-23     06:55:55          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi!!   Yohana 6:63 [63]Roho ndiyo itiayo uzima, mwili haufai kitu; maneno hayo niliyowaambia ni roho, tena ni uzima.  Roho wa Mungu akunulie na kukupa uzima utokao katika kila neno la Mungu lililowekwa moyoni mwako uishi maisha yenye thamani kulitimiza kusudi la maisha yako.   Uwe na siku njema.  Shalom.
2018-08-24     07:44:19          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za Asubuhi  Wakolosai 3:4 [4]Kristo atakapofunuliwa, aliye uhai wetu, ndipo na ninyi mtafunuliwa pamoja naye katika utukufu.  Nakutakia tafaka njema juu ya uhai ulio nao na Roho Mtakatifu akufunulie kuishi maisha ya Yesu hapa duniani kwa ajili ya Utukufu wa Mungu.   Ukumbuke ya kwamba: Zaburi 82:6 [6]Mimi nimesema, Ndinyi miungu,  Na wana wa Aliye juu, nyote pia.  Siku njema kwako.  Shalom
2018-08-24     07:48:48          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za Asubuhi  Wakolosai 3:4 [4]Kristo atakapofunuliwa, aliye uhai wetu, ndipo na ninyi mtafunuliwa pamoja naye katika utukufu.  Nakutakia tafaka njema juu ya uhai ulio nao na Roho Mtakatifu akufunulie kuishi maisha ya Yesu hapa duniani kwa ajili ya Utukufu wa Mungu.   Ukumbuke ya kwamba: Zaburi 82:6 [6]Mimi nimesema, Ndinyi miungu,  Na wana wa Aliye juu, nyote pia.  Siku njema kwako.  Shalom
2018-08-25     07:23:34          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi   Ezekieli 36:26-27 [26]Nami nitawapa ninyi moyo mpya, nami nitatia roho mpya ndani yenu, nami nitatoa moyo wa jiwe uliomo ndani ymwili wenu, nami nitawapa moyo wa nyama. [27]Nami nitatia roho yangu ndani yenu, na kuwaendesha katika sheria zangu, nanyi mtazishika hukumu zangu, nkuzitenda.  Moyo mpya na Roho wake ndani yetu, Yeye aliyekufanya kwa ajili ya sifa na utukufu wake anakuongoza na kukuwezesha kuishi.   Siku njema Shalom
2018-08-27     09:29:54          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  2 Timotheo 1:9-10 [9]ambaye alituokoa akatuita kwa mwito mtakatifu, si kwa kadiri ya matendo yetu sisi, bali kwa kadiri ya makusudyake yeye na neema yake. Neema hiyo tulipewa katika Kristo Yesu tangu milele, [10]na sasa inadhihirishwa kwa kufunuliwa kwake Mwokozi wetu Kristo Yes aliyebatili mauti, na kuufunua uzima na kutokuharibika, kwa ile Injili;  Nakutakia tafakari njema juu ya maisha ya milele ndan ya Yesu  Shalom.
2018-08-27     20:14:05          in         +255769505203          Kaka Balbina  Yohana 6:38 [38]Kwa kuwa mimi sikushuka kutoka mbinguni ili niyafanye mapenzi yangu, bali mapenzi yake aliyenipeleka.
2018-08-27     20:30:29          in         +255769505203          Kaka Balbina  Nikutakie tafakari njema katika neno hilo juu ya maisha unayoyaishi, ukumbuke ulikotoka kwanini upo hapo ulipo na lengo la kuwepo hapo na yote ulionayo ni kwa ajili ya nini.   Uwe na jioni njema na usiku mwema.
2018-08-27     21:11:07          out       +255769505203          Kaka Balbina  Asante  sana
2018-08-28     07:50:10          in         +255769505203          Kaka Balbina  Habari za asubuhi  Luka 17:20-21 [20]Na alipoulizwa na Mafarisayo, Ufalme wa Mungu utakuja lini? Aliwajibu akawaambia, ufalme wa Mungu hauji kwa kuucnguza; [21]wala hawatasema, Tazama, upo huku, au, kule, kwa maana, tazama, ufalme wa Mungu umo ndani yenu.  Nikutakie tafakari njema ya neno hilo Yesalilolisema yakuwa Ufalme wa Mungu umo ndani yako Na Roho Mtakatifu akufunulie haya.   Siku yako ni njema  Shalom.

2018-08-29     
 Habari za asubuhi!   Yakobo 1:5 [5]Lakini mtu wa kwenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye apewa.  Kwa yale unayoyaendea siku ya leo nena na Roho wa Mungu anayeishi ndani yako akufunulie hekima ya kuyaendea na kuyakamilisha sawa na mapenzi ya Mungu kwako.  Kwaku Roho pekee ndiye ajuaye yale Mungu akuwaziayo.   Siku njema kwako.  Shalom.       

Habari za asubuhi  Mathayo 6:25 [25] Kwa sababu hiyo nawaambieni, Msisumbukie maisha yenu, mle nini au mnywe nini; wala miili yenu, mvae nini. Maishae! Si zaidi ya chakula, na mwili zaidi ya mavazi?  Maisha ni zaidi ya mali na vile vingi tunavyovisumbukia kila wakati. Maisha haya ni nuru ya Yesu na Utukufu wa Mungu na yanathamani kubwa mno ambayo haifananishwi na chochote.  Roho wa Mungu akufunulie haya uishi katika pendo na utukufu wake.   Shalom

2018-08-31    
 Habari za asubuhi  1 Yohana 5:20 [20]Nasi twajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele.  Maisha yako yanathamani kubwa sana kwakuwa u ndani ya Yesu yeye aliye Mungu wa kweli na uzima wa milele usilinganishe maisha haya na kitu chochote kile  Tafakari njema kwako.  Shalom.

2018-09-01     
Habari za asubuhi  Warumi 15:13 [13]Basi Mungu wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani katika kuamini, mpate kuzidi sana kuwa na tumaini, kaka nguvu za Roho Mtakatifu.  Ninaomba neno hili likafanyike hai na kuishi ndani yako kwa jina la Yesu mwezi huu ukasimamishwe imara katika yote Mungu aliyoyaweka mbele zako na ukaishi maisha yenye thamani na Utukufu wa Mungu kwa msaada wa Roho Mtakatifu.  Amina  Siku yako ni njema.  Shalom.

Comments

Popular posts from this blog

SALAMU ZA PASAKA

Salam Za Pasaka Wakolosai 2:13-15 [13]Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutokutahiriwa kwa mwili wenu, aliwafanya hai pamoja ne, akiisha kutusamehe makosa yote; [14]akiisha kuifuta ile hati iliyoandikwa ya kutushitaki kwa hukumu zake, iliyokuwa na uadui kwetu; akaiondoa isiwo tena, akaigongomea msalabani; [15]akiisha kuzivua enzi na mamlaka, na kuzifanya kuwa mkogo kwa ujasiri, akizishangilia katika msalaba huo. Haleluya.

UNAO UZIMA WA MILELE

UNAO UZIMA WA MILELE 1 Yohana 5:13 [13]Nimewaandikia ninyi mambo hayo, ili mjue ya kuwa mna uzima wa milele, ninyi mnaoliamini Jinla Mwana wa Mungu. ninakuombea Roho wa Mungu akufunulie kweli hii na Utukufu wa Mungu ukadhihirike katika maisha yako hapa duniani. Dunia ione nuru ya Kristo ndani yako yeye unayeketi nae katika uzima wa milele. Wewe ni wathamani.

KUENENDA KATIKA KRISTO

KUENENDA KATIKA KRISTO Wakolosai 2:6-7,9-10 [6]Basi kama mlivyompokea Kristo Yesu, Bwana, enendeni vivyo hivyo katika yeye; [7]wenye shina na wenye kujengwa katika yeye; mmefanywa imara kwa imani, kama mlivyofundishwa; mkizidi kutoa shukrani. [9]Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwili. [10]Na ninyi mmetimilika katika yeye aliye kichwa cha enzi yote na mamlaka. Umekamilishwa ndani ya Kristo Yesu.