Skip to main content

UZIMA NA MEMA YA MILELE




UZIMA NA MEMA YA MILELE
Zaburi 16:11
[11]Utanijulisha njia ya uzima;
Mbele za uso wako ziko furaha tele;
Na katika mkono wako uume
Mna mema ya milele.

Katika Mkono wa kuume wa Mungu mna mema ya milele. Nasi tumeketishwa pamoja na Kristo, mkono wa kuume wa Mungu Baba.  Atukuzwe Mungu kwa wema wake usio na kipimo.

Umebarikiwa! 

Comments

Popular posts from this blog

SALAMU ZA PASAKA

Salam Za Pasaka Wakolosai 2:13-15 [13]Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutokutahiriwa kwa mwili wenu, aliwafanya hai pamoja ne, akiisha kutusamehe makosa yote; [14]akiisha kuifuta ile hati iliyoandikwa ya kutushitaki kwa hukumu zake, iliyokuwa na uadui kwetu; akaiondoa isiwo tena, akaigongomea msalabani; [15]akiisha kuzivua enzi na mamlaka, na kuzifanya kuwa mkogo kwa ujasiri, akizishangilia katika msalaba huo. Haleluya.

Warumi 15:13

2018-09-01       Habari za asubuhi. Warumi 15:13 [13]Basi Mungu wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani katika kuamini, mpate kuzidi sana kuwa na tumaini, kaka nguvu za Roho Mtakatifu.  Ninaomba neno hili likafanyike hai na kuishi ndani yako kwa jina la Yesu mwezi huu ukasimamishwe imara katika yote Mungu aliyoyaweka mbele zako na ukaishi maisha yenye thamani na Utukufu wa Mungu kwa msaada wa Roho Mtakatifu.   Amina  Siku yako ni njema.  Shalom.

ENDELEA KUMWAMINI YESU KRISTO

Yohana 11:25-26 [25]Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi; [26ye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo? Yeye aliyefanyika dhambi ili sisi tupate uzima, nae aliimaliza dhambi kwa kifo cha msalaba na kutupa uzima wa milele pamoja nae katika ufufuko. Endelea kumuamini Kristo Yesu. Yeye ameyamaliza na kuyashinda yote. Siku njema