Skip to main content

UNAO UZIMA WA MILELE



UNAO UZIMA WA MILELE
1 Yohana 5:13
[13]Nimewaandikia ninyi mambo hayo, ili mjue ya kuwa mna uzima wa milele, ninyi mnaoliamini Jinla Mwana wa Mungu.

ninakuombea Roho wa Mungu akufunulie kweli hii na Utukufu wa Mungu ukadhihirike katika maisha yako hapa duniani. Dunia ione nuru ya Kristo ndani yako yeye unayeketi nae katika uzima wa milele.

Wewe ni wathamani.

Comments

Popular posts from this blog

SALAMU ZA PASAKA

Salam Za Pasaka Wakolosai 2:13-15 [13]Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutokutahiriwa kwa mwili wenu, aliwafanya hai pamoja ne, akiisha kutusamehe makosa yote; [14]akiisha kuifuta ile hati iliyoandikwa ya kutushitaki kwa hukumu zake, iliyokuwa na uadui kwetu; akaiondoa isiwo tena, akaigongomea msalabani; [15]akiisha kuzivua enzi na mamlaka, na kuzifanya kuwa mkogo kwa ujasiri, akizishangilia katika msalaba huo. Haleluya.

KUENENDA KATIKA KRISTO

KUENENDA KATIKA KRISTO Wakolosai 2:6-7,9-10 [6]Basi kama mlivyompokea Kristo Yesu, Bwana, enendeni vivyo hivyo katika yeye; [7]wenye shina na wenye kujengwa katika yeye; mmefanywa imara kwa imani, kama mlivyofundishwa; mkizidi kutoa shukrani. [9]Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwili. [10]Na ninyi mmetimilika katika yeye aliye kichwa cha enzi yote na mamlaka. Umekamilishwa ndani ya Kristo Yesu.