UNAO UZIMA WA MILELE
1 Yohana 5:13
[13]Nimewaandikia ninyi mambo hayo, ili mjue ya kuwa mna uzima wa milele, ninyi mnaoliamini Jinla Mwana wa Mungu.
ninakuombea Roho wa Mungu akufunulie kweli hii na Utukufu wa Mungu ukadhihirike katika maisha yako hapa duniani. Dunia ione nuru ya Kristo ndani yako yeye unayeketi nae katika uzima wa milele.
Wewe ni wathamani.
Comments
Post a Comment